ndo nimeamua mkuu najaribu bahati yangu nimejitoa kwa kila hali kwa huyu mtoto.komaa nae mkuu huenda ikawa bahat yk
hakuna mwanaume aliefaulu kwangu wote wamekuja na saund ya NDOA bila matunzo ambapo nshawazoea nakuiona hyo hali Kwao ni kama wimbo wa Taifa bila VIDEO!!!!!!!!!!.........
Nipeleke nipelekeSitaki kumbuka maana aliyoyasema yote hakuyamaanisha..... nikamfutilia mbali na huo ukawa ndo mwisho wetu....
wengine wanasema mwanamke akipenda kapenda kweli hv wapo siku hizHata uwe na maneno gani. Kama hakupendi na huna pesa sahau!
Kwahiyo hujatoa papuchi mpaka Leo?hakuna mwanaume aliefaulu kwangu wote wamekuja na saund ya NDOA bila matunzo ambapo nshawazoea nakuiona hyo hali Kwao ni kama wimbo wa Taifa bila VIDEO!!!!!!!!!!.........
swadakta..Maneno ya kuwapa hawa watu ni......
I3G1241G434H Imethibitishwa umetumiwa Tsh******** *****Tarehe*****Salio lako jipya la akaunti ya M-Pesa ni Tsh*******
Hapo atakuja kwako chupi mkononi kashaivua
asa nn maana ya kuniita baby?Wanawake wa siku hizi ovyo kweli, unataka utunzwe wewe ni mtoto??
Kwani wewe huniiti mimi baby? Na kama unaniita baby nastahili matunzo pia kutoka kwako!asa nn maana ya kuniita baby?
hahh kwanini tuseme uwongo!Huyu binti ameongea ukweli
nakuita pia baby..na nakutunza kwa vitendo vyote vinavoanzia na herufi k mfano kukulisha..Kwani wewe huniiti mimi baby? Na kama unaniita baby nastahili matunzo pia kutoka kwako!
Kwa hiyo wewe unapendelea unitunze kwa K halafu mimi nikutunze kwa kukumiminia feza?.....Sasa hapa rahaa za dyudyu langu unalopata zinaingia wapi?zinakuwa compensated na kitu gani?nakuita pia baby..na nakutunza kwa vitendo vyote vinavoanzia na herufi k mfano kukulisha..
Nipeleke nipeleke
Kwan na unipapo jaramba lako ww huskii raha pia? Mm bila na hela juu cwez kufika.Kwa hiyo wewe unapendelea unitunze kwa K halafu mimi nikutunze kwa kukumiminia feza?.....Sasa hapa rahaa za dyudyu langu unalopata zinaingia wapi?zinakuwa compensated na kitu gani?
Kwa hiyo unataka nikupe dyudyu plus hela halafu wewe unipe K peke yake??? It is unfair business, huo ni unyonyaji!!...... Mnavyotufanya sisi watoto wa wanawake wenzio siyo vizuri!Kwan na unipapo jaramba lako ww huskii raha pia? Mm bila na hela juu cwez kufika.
Eee kwan ulitaka na nn kingine upewe??ili iwe kila mtu viwili viwili..Kwa hiyo unataka nikupe dyudyu plus hela halafu wewe unipe K peke yake??? It is unfair business, huo ni unyonyaji!!...... Mnavyotufanya sisi watoto wa wanawake wenzio siyo vizuri!