Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,532
- 3,517
Zamani tulikua tunafuatilia macontractors wa barabara nimewakumbuka na KAJIMA walijenga Mororogoro Road pale eneo korofi Magomeni Mapipa hadi makutano ya UN road.Naam.
Nakumbuka Mowlem, UK.
HIyo ni Sam Nujoma road sio Mandela roadHongera kwa kutoa kongole. Nakumbuka kuna siku niliamua nitoa uchovu wa mwili nikaamua kukanyaga kwa mguu kutoka Ubungo mpaka Mwenge, yaan nilitembea bila bughudha eneo la watembea kwa miguu. Aliyeijenga kuanzia mtoa tenda na mpokeaji wapewe ponfezi walizingatia mambo ya muhimu.
Ila mkuu samahani hiyo camera yako inaumwa mafua?
Mwambie mleta mada sio mimi. Halafu washirikishe na mods wabadilishe kichwa cha uziHIyo ni Sam Nujoma road sio Mandela road
huyo kachanganya hiyo ni Sam Nujoma road sio Mandela expressway unayoiongeleaIlijengwa/ilikarabatiwa tena kipindi Cha Jakaya Kikwere na makandarasi MALTAURO-SPENKON kuanzia mwaka 2008- 2011 toka bandarini mpaka Ubungo mataa. Ile ya Mowlem ilibomolewa
Kilijengwa mwaka gani!?Kuna aliyejenga kipande cha isaka-lusahunga. Hongera zake yuko poa sana
Ndio wale walijenga fly over treetop manzese na mzee ruksa kuifungua rasmi na kusema sasa Dar ni kama london?Zamani tulikua tunafuatilia macontractors wa barabara nimewakumbuka na KAJIMA walijenga Mororogoro Road pale eneo korofi Magomeni Mapipa hadi makutano ya UN road.
Iko Vema Sana Kuna Maeneo MengiKutoka Chalinze kwenda Morogoro barabara hii naikubali sana
Mkuu kina muda sanaKilijengwa mwaka gani!?
Sio kwamba kilijengwa jana leo mnatoa pongezi....!
Sasa mbona naona picha za sam nujoma road??Hii barabara pichani kwa jina MANDELA Road, ndio barabara yangu yenye ubora kabisa.
Kwanza, imedumu bila kubonyea bonyea, kuweka mabigijii kama ilivyo baadhi ya barabara zenye heavy traffic
Pili, imezingatia haki za watumiaji wote. Inayo sehemu ya mapitio ya dharura, waenda kwa miguu na magari pande mbili.
Ina mifereji mipana saafii inayopitisha maji vizuri.
My take:
Mkandarasi aliejenga hii apewe tena kazi ya barabara muhimu kv Moro Kibaha Express Lane nk. Heko alempa kazi na standards za kuzingatiwa.
Huu ni mfano bora.
UZI TAYARI
View attachment 2869540View attachment 2869542
Kweli Kabisa mkúu huyo mkandarasi apewe Maua Yake.Hahahahaha😀😀😀
Jielimishe kwanza. Hiyo sio Mandela Rd, ni Sam Nujoma Rd.
Hiyo barabara ina mazingira mazuri tu inavutia kuendesha, lakini haina ubora. Lau magari yanayopita Mandela Rd yanayobeba macontainer na heavy traffics yangekuwa yanapita hapo usingeisifia hiyo barabara.
Aliyejenga Mandela Rd yenyewe kuanzia Ubungo hadi Kurasini naomba tumsifu, kajitahidi sana. Mabigijii yapo, hasa sehemu ambazo kuna traffic lights kwa sababu magari mazito yanasimama kwa muda kama pale Serengeti na Tabata. Ila angalau amethubutu.
Lami nzuri tunaanza kuona ubora wake baada ya miaka kumiMkuu kina muda sana
Probably itakuwa imepita hapo. Ngoma inabeba uzito wa maana kwenda uganda,rwanda na burundiLami nzuri tunaanza kuona ubora wake baada ya miaka kumi
Hapo sawaProbably itakuwa imepita hapo. Ngoma inabeba uzito wa maana kwenda uganda,rwanda na burundi
Kutoka Chalinze kwenda Morogoro barabara hii naikubali sana
Hahahahaha😀😀😀
Jielimishe kwanza. Hiyo sio Mandela Rd, ni Sam Nujoma Rd.
Hiyo barabara ina mazingira mazuri tu inavutia kuendesha, lakini haina ubora. Lau magari yanayopita Mandela Rd yanayobeba macontainer na heavy traffics yangekuwa yanapita hapo usingeisifia hiyo barabara.
Aliyejenga Mandela Rd yenyewe kuanzia Ubungo hadi Kurasini naomba tumsifu, kajitahidi sana. Mabigijii yapo, hasa sehemu ambazo kuna traffic lights kwa sababu magari mazito yanasimama kwa muda kama pale Serengeti na Tabata. Ila angalau amethubutu.
Kwangu mimi barabara bora ni ile ya Mwanza - Sirari inaitwa Sirari road