Manchester United vs Real Madrid (Live Feeds) - March 05, 2013

Manchester United vs Real Madrid (Live Feeds) - March 05, 2013

refa amezingua but huo ndo mpira blatter na platini watakuwa wamefurahi sana hawataki kombe kurudi uingereza.

nafikiri wanaionea wivu ligi ya uingereza kwani ndiyo inayotazamwa zaidi na kulazimisha ligi nyingine kubadili muda kuchezwa late since watu wengi wanaangalia epl
 
Kama timu bora zaidi duniani(Barc) ilifungwa goli 5 ndani ya wiki moja nyie ManyU m-mejitahidi sana!! Manake mngefungwa hata 10 leo
 
644282_426165660799668_176868349_n.jpg
 
Halafu Man U leo wanabahati sana Ronaldo kawabeba kwa kukosa magoli ya wazi kabisa aisee
Chance kama zile Ronaldo lazima akuue
Ndio maana baada ya kufunga badala ya kushangilia akaonyesha ishara ya kuwaomba radhi
 


1. De Jong ni mchezaji aliekamilika 100% coz anachezea AC Milan...
2. Baada ya De Jong au the young kuruka hiyo fran kick alimfuata mhanga Alonso na kisha kumuomba radhi...

3. Louis Nani hajakamilika coz hajachezea Milan.
4. Baada ya kuruka hiyo fran kick yake alianza kugalagala pale chini. Yaani alikuwa sasa anamdanganya mwamuzi...

Halal
 
Spain oyee nimerudi tena,j4 ijayo nou camp tuna hasira kama mjeruhiwa mbogo,siongei sana.
 
Sina kumbukumbu ya Man U kufungwa na timu yoyote, iwe ya ndani au nje wakaacha kulalamika. Labda mechi ya kirafiki. Hao jamaa wamezoea kubebwa na marefa na pia uongozi wa FA. Mechi pekee waliyokubali matokeo kwa kumbukumbu zangu ni ile ya fainali na Barcelona. Ndio maana wameua kabisa mpira wa England. Hata wanapotafutwa wachezaji bora 20 duniani hakuna anayechomoka kutoka England. Shame on you Man U. Timu yoyote ikiibukia kuleta changamoto kwa Man U huko England utaona itakavyoshambuliwa kila kona na FA na vyombo vyao vya habari. Angalia yaliyotokea kwa Chelsea, angalia yaliyotokea kwa Man City. Kila siku ni story za kocha kutimuliwa, chezaji gani amefanya nini, nk. Kukiwa na mechi muhimu na timu pinzani utaona refa atakavyochezesha mechi, hadi Man U washinde ndio anatulia. Angalia jinsi Chelsea alivyonyanyaswa wakati ule anaongoza ligi, kadi nyekundu na penati nje nje lakini za upande mmoja. Pamoja na Chelsea kuwa nyuma kwa goli 2 walirudisha goli zote, lakini wakalazimika kucheza pungufu na pia Chacharito akaachwa kufunga akiwa clear offside. Hii inanifanya niichukie Man U na Ligi ya England kwa ujumla. Naomba anayejua kiingereza anifikishie ujumbe huu kwa babu Fergason aache mchezo mchafu, anaua mpira wa England. Angalia hivi sasa, wachezaji wakubwa na makocha wazuri wote wanakimbia England, maana wanajua hata wangefanyeje Man U ataendelea kubebwa. Shame on you Man U supporters. Tahadhali, I dont need any attack on this because I am going offline after delivering my message.

God bless you all.
 
Kama timu bora zaidi duniani(Barc) ilifungwa goli 5 ndani ya wiki moja nyie ManyU m-mejitahidi sana!! Manake mngefungwa hata 10 leo

yaani ile mipira ilikuwa inagongwa mwamba ilikuwa inanikera sana...hawa walipaswa kupigwa 6
 
Back
Top Bottom