Mashabiki wa Roma wamewaambia wachezaji wao kuwa wafanye juu chini watufunge..
Yote haya yamekuja baada ya Ole kusema kuwa hajui Roma wanavyocheza i.e hajawafuatilia kwa muda..Roma fans wameona Ole ameidharau Roma na ndo maana wamelipuka.
Tusubirie hilo mbungi saa nne leo.
==========
My Starting XI
==========
De Gea
AWB Lindelof Maguire Shaw
Fred Pogba
Greenwood Fernandes Rashford
Cavani