Ukisikiliza uchambuzi wa wabongo khs Mourinho unaweza sema rwandamina ana nafuu.HAHAHAAAA
Ant-mourinho hali walionayo saiz
I suggest lifetime contract.Ed wood amebakisha kazi moja tu...yakumpatia De Gea mkataba wa miaka saba na nusu
Huyu Madrid anakwendaEd wood amebakisha kazi moja tu...yakumpatia De Gea mkataba wa miaka saba na nusu
Huenda hujui muujiza wa "The Fax Machine Saga"Huyu Madrid anakwenda
Natamani kumuona huyu dogo maana anapewa sifa sana sijawahi kumuona akicheza ingawa nilitegemea apande kikosi cha wakubwa kutokana na sifa zake ninazosikia.The little magician is travelling with the squad ahead of the FA CUP match tonight.
Angel Gomes!
View attachment 684899
Naanza kuona mwanga wa timu kurudi hizi damu changa zinapata uzoef taratubu baadae itakuja kuwa shida sana mourinho anajitahid mno.
Gemu ya mwisho alicheza na crystal palace walibadilishana na rooney dogo yupo vizur sana mkuu alijitahid kwa ule Muda aliongia drible na pasi zake zilikuwa safiNatamani kumuona huyu dogo maana anapewa sifa sana sijawahi kumuona akicheza ingawa nilitegemea apande kikosi cha wakubwa kutokana na sifa zake ninazosikia.
Ngoja tumuoneGemu ya mwisho alicheza na crystal palace walibadilishana na rooney dogo yupo vizur sana mkuu alijitahid kwa ule Muda aliongia drible na pasi zake zilikuwa safi
Hii utaiona uwanjani tumebadili styleWazee wa kuuza Jezi mbona kimya jamani hatusikii mpaka sasa mmeshauza copy ngazi za Sanchez hahahahaha ya Pogba ilikuwa masaa 24 tu hii vipi
Saa 5 kasoro dakika 5 usikuGem sa ngap wadau