Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu una roho ngumu sana spurs old traford kwetu ni uji na mgonjwa hutaamini hapo mgumu narudia mkubwa mwenzangu liverpool ila hizo zingine sio kwamba siziheshimu naziheshimu vizur sana matokeo yanaweza kubadilika tofaut na mtazamo wangu.
Wewe kama Stoke city alikutoa jasho. .Tottenham utamweza kweli? Mkuu usiangalie historia, kwa sasa haina nafasi ..kikosi cha spurs kipo imara kuliko hicho cha liver unachokiogopa. Me nakuhakikishia kikosi cha man u bado hakijiamini kabisa.
 
Wewe kama Stoke city alikutoa jasho. .Tottenham utamweza kweli? Mkuu usiangalie historia, kwa sasa haina nafasi ..kikosi cha spurs kipo imara kuliko hicho cha liver unachokiogopa. Me nakuhakikishia kikosi cha man u bado hakijiamini kabisa.

Mkuu kwani wewe ulifurukuta kwa arsenal aliepigwa na stoke na burnley? Siku zote spurs anapigwa old traford hata afanyaje fuatilia utajua hilo kukos cha man u msimu uliopita kilikuwa cha kawaida sana ila tulifanya vizur sana tuliachia mwishoni baada ya kuona kombe na kupigania nafas ya nne kipi bora? Kifup kombe sio nafas ya nne nguvu zikahamia ueropa tukaanza kutia madogo epl hapo spurs na arsenal walishinda ila kwa sasa sahau hilo huu moto kaa mbali hatuchez vizur ila goli zipo
 
Wewe kama Stoke city alikutoa jasho. .Tottenham utamweza kweli? Mkuu usiangalie historia, kwa sasa haina nafasi ..kikosi cha spurs kipo imara kuliko hicho cha liver unachokiogopa. Me nakuhakikishia kikosi cha man u bado hakijiamini kabisa.

Msimu uliopita Spurs aliondoka OT akiwa na shot ontarget moja. Msimu huu hapati ata hiyo moja.
Unakumbuka tulimpiga ngapi?
 
Hata mm sina hakika kwa kweli... Ila nna imani na team, rashford anacheza nafasi ya Lukaku vzr tu

Lukaku mzima wa afya ila anaweza kupumzishwa mechi zao za kimataifa hiyo ni baada ya kupimwa enka
 
Wewe kama Stoke city alikutoa jasho. .Tottenham utamweza kweli? Mkuu usiangalie historia, kwa sasa haina nafasi ..kikosi cha spurs kipo imara kuliko hicho cha liver unachokiogopa. Me nakuhakikishia kikosi cha man u bado hakijiamini kabisa.
Kipo imara kina point ngapi hadi sasa na kipo nafasi ya ngapi?
 
Wewe kama Stoke city alikutoa jasho. .Tottenham utamweza kweli? Mkuu usiangalie historia, kwa sasa haina nafasi ..kikosi cha spurs kipo imara kuliko hicho cha liver unachokiogopa. Me nakuhakikishia kikosi cha man u bado hakijiamini kabisa.
Sawa hakijiamini kimepataje ptn 19 na goli 19? huyo tote aliye imara na anayejiamin kwann ana ptn chache wakati yuko imara? Ko ww una aamin kikosi chako cha man cty ndo kiko imara zaid kuliko Man United?
 
Man Utd boss Mourinho has street named after him

Manchester United boss Jose Mourinho has had a street named after him in his native Portugal.

The 54-year-old is one of European football's most successful managers, having won two Champions League titles, as well as league successes in Portugal, Italy, Spain and England.

Mourinho replaced Louis van Gaal at Old Trafford prior to the start of the 2015-16 season, leading United to a Europa League and League Cup double in his first campaign with the club, while he also won the Community Shield.

And the Portuguese has earned rave reviews for United's impressive start to the new season, with the Red Devils currently joint top of the Premier League and unbeaten in their opening seven league matches.

Mourinho's success has not gone unnoticed in Portugal either, with his hometown of Setubal having honoured the coach with a street named after him.
 
Huo ndiyo uanaume, upambanaji. Most successful people waliozaliwa kabla ya 1980s wameishi kwa kupambana sana. Blacks wengi wanaokipiga Ulaya ni wakimbizi. Zlatan asikumbuke nyuma kwa huzuni, yaliyopita ni ushuhuda kwa wapambanaji vijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…