Haya wadau ni siku nyingine tena chama la wana linaingia uwanjani leo pale darajani tuna historia mbaya sana pale toka 2013 babu fergie aachie timu hatujawahi kushinda kabisaaa ila leo kitaeleweka tu lazima tuondoke na point tatu
TEAMPOGBA TUJUANE MAPEMAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA