Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mwenye picha mpya ya kikosi cha Manchester na meneja wao mpya Mou ili tubadilishe hapo juu.
 
Jamaa hajielewii... Ngoja tumnyooshe kwa mara nyingne tena
 
Yaan unachojuaa ni hicho tuu.... Na huenda umemtaja pogba mara nyingi zaid kuliko unavyoitaja Liverpool maana pogba anakupa homa
 
Yaan unachojuaa ni hicho tuu.... Na huenda umemtaja pogba mara nyingi zaid kuliko unavyoitaja Liverpool maana pogba anakupa homa
Analeta..mambo..ya..historia...pamoja...na...kutufunga..hizo..nne..muulize...nani...alikuwa..champion..!!
 
United are reportedly ready to break Pogba's £89m world-record fee for Griezmann
A move to United would offer the 25-year-old a chance to link up with his compatriot, and it appears their bond is extremely strong after starring together for Didier Deschamps’ side at Euro 2016.
Griezmann told radio station Onda Cero : “Pogba and I were brought closer by the French press.
“Criticism after the Romania game made us friends. Pogba with the ball is a genius.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…