Nataman hii timu ishuke daraja kumamakeh.
Namuangalia huyu mmisri anavokiwasha man city hapa, hivi hata skaut wa hii timu mbovu ya man utd walishindwa hata kumjua ama kumuona huyu mchezaji
Wanakumbatia mashoga akina rash ford na wapuuzi wengine ...ila mwaka huu lazima akili zikae sawa