Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii United hata haijulikani shida nini!
Imagine wachezaji wa everton wanavyokimbia uwanja mzima kuwazuia liverpool, ila united hatuwezi hata kukaa na mpira daki 2 tu!
Hukumbuki mechi ya mwisho liva na man u ilikuwa kidogo tu jogoo anyonyolewe. Man u hawajitumi kila mechi, hawana malengo ambayo wanayapambania, ni wanakamia mechi mojamoja tu.
 
Hata angekuja marmush wa city angekuja kuwa takataka tu. Ronaldo alisema shida siyo samaki shida ni aquarium.
 
BREAKING: Amad could miss the rest of the season with ankle ligament damage suffered in training. He's still being assessed but faces a lengthy layoff. [@ChrisWheelerDM] #mufc
 
BREAKING: Amad could miss the rest of the season with ankle ligament damage suffered in training. He's still being assessed but faces a lengthy layoff. [@ChrisWheelerDM] #mufc
Siyo poa. Dogo anakipaji.
 
Timu imelaniwa aisee ndo basi tenaa mpaka amad dah. Ndo basi Tena msimu ushaisha tunashuka daraja
 
Mchambuzi nguli, na mwanazuoni wa Soka la ndani na nje ya mipaka ya Tanzania mwenye beji ya fifa ,mwenye leseni ya ukocha grade B kutoka pale karume


Natoa tamko Amorini ni tapeli na hatawafikisha popote , ni kocha asiyeweza kubadilika ,ni kocha aliyekariri mfumo mmoja tu 3-4-3

Hawezi kutoka nje ya hapo ,

Nilisema ETH ni tapeli ,ila Amorini ni Tapeli kipeuo cha pili

Takwimu zinaongea
 
Manjesta kama wanataka kurejea angalau wagonbee hata kucheza Europa league ilitakiwa wamuachie timu RvN

Au wangempa timu Kieran Mackena


Sisi wachambuzi nguli ,tunuona RvN na Kieran Mackena Wana uwezo mzuri kuliko tapeli Amorini
 
Siku Amorini akishift hata kucheza 4-4-2 au 4-3-3

Nagawa elfu kumi kumi humu

Amorini ni kocha muoga na tapeli

ila ligi ya Ureno hata Malale hamsini anafundisha ile ligi
 
ETH alileta wachezaji wa Ajax na ligi ya uholanzi akawajaza manjesta,sasa hivi mnahangaika kuwaomdoa


Tapeli Amorini atajaza wachezaji wa Sporting Lisbon na WA ligi ya Ureno

Mwakani kocha mpya kutoka visiwa vya shelisheli naye atafanya hivo hivo
😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…