Aen Urner
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 358
- 351
Habari zenu wanasports,
Kwa kuweka kando ushabiki nimechunguza na kufanya analysis Kwa timu zilizobaki mpka Jana kwenye michuano ya kombe la ulaya ngazi ya vilabu (UEFA CHAMPIONS LEAGUE).
Nimegundua city hawana cha kupoteza msimu huu.
Kiu ya kubeba UCL imemkaba Pep, nahisi asingekuwepo Etihad mpaka sasa kama angekuwa ameshatwaa kombe hili, Hana alichobakisha Kwa CITY zaidi ya Uefa, ni wakati maridhawa kabisa Kwa CITY kunyanyua ndoo katika kipindi ambacho vidume wa ulaya LIVERPOOL washalamba mchanga, BARCELONA na Wenzao wa Bernabeu Tia maji, Tia maji, changamoto pekee Kwa city inabaki kuwa Bayern Munich ambayo Kwa mbinu na uzoefu alonao Pep guardiola sioni Bayern wakiwazuia City kutwaa ubingwa msimu huu.
Mwisho,
CITY BINGWA MSIMU HUU,
UNA MAONI AU MTAZAMO TOFAUTI NA HUU, KARIBU!!!
Kwa kuweka kando ushabiki nimechunguza na kufanya analysis Kwa timu zilizobaki mpka Jana kwenye michuano ya kombe la ulaya ngazi ya vilabu (UEFA CHAMPIONS LEAGUE).
Nimegundua city hawana cha kupoteza msimu huu.
Kiu ya kubeba UCL imemkaba Pep, nahisi asingekuwepo Etihad mpaka sasa kama angekuwa ameshatwaa kombe hili, Hana alichobakisha Kwa CITY zaidi ya Uefa, ni wakati maridhawa kabisa Kwa CITY kunyanyua ndoo katika kipindi ambacho vidume wa ulaya LIVERPOOL washalamba mchanga, BARCELONA na Wenzao wa Bernabeu Tia maji, Tia maji, changamoto pekee Kwa city inabaki kuwa Bayern Munich ambayo Kwa mbinu na uzoefu alonao Pep guardiola sioni Bayern wakiwazuia City kutwaa ubingwa msimu huu.
Mwisho,
CITY BINGWA MSIMU HUU,
UNA MAONI AU MTAZAMO TOFAUTI NA HUU, KARIBU!!!