sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
hahah, hayo ndio mnayajua leo ehh, alipokuwa simba je?Nafasi ya afisa habari au Mkuu wa Kitengo cha Habari inahitaji sifa ya kuwa mwandishi wa habari. Kumbuka Mkuu wa Kitengo cha Habari anasimamia audio, video, TV, social media (instagram, facebook, twitter, website etc), sasa angalia vitu vyote hivi, kwa vyovyote vinahitaji mtu mwenye taaluma, sio kipaji tu cha kuongea.
Hebu tulieni dawa iwaningie makolo, msitikisike bado shughuli haijaisha, show show yani hadi inamalizika kisogo tumewapumulia kweli kweli
Kwa taarifa yenu hayo mambo ya elimu hayana nafasi, MANARA HAINDOKI!!!!!
LITAKUFA JITU MWAKA HUU