sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
nitajie msemaji mwenye vyeti ambae walau kafikia hata robo ya mshahara wa ManaraIssue hapa ni veyti huo mlolongo ulioutoa anzishia mada yake
nitajie msemaji mwenye vyeti ambae walau kafikia hata robo ya mshahara wa ManaraIssue hapa ni veyti huo mlolongo ulioutoa anzishia mada yake
Jiiinga sana ww eti 'vyehi'......Mpuuzi weewe hujui kwamba sheria za TFF zinasema maafisa habari wawe qualified?hujui hata makocha wa mpira wanahitaji vyeti?
No wonder kazi ya u afisa habari imeonekana ni ya wachambaji, hopeless kabisa,eti mess darasa hana umesikia vyeti ni kwa ajili ya wachezaji?
mkuu, waache hao, joto wanalopumuliwa na manara kisogoni linawapa taabu, ajabu ni kwamba hawataki kumu unfollowJiiinga sana ww eti 'vyehi'......
wapi uliona msemaji wa timu wanataka vyeti au sheria ipi imeainisha hivyo.......
kumbafu kabisa ww toka na mavyeti yako....
wp uliona messi ana degree au diploma!!?
semaji la utopolo linatetewa kwa nguvu zoteJiiinga sana ww eti 'vyehi'......
wapi uliona msemaji wa timu wanataka vyeti au sheria ipi imeainisha hivyo.......
kumbafu kabisa ww toka na mavyeti yako....
wp uliona messi ana degree au diploma!!?
wewe naitwa nzagambadume a.k.a MZEE TOZI muulize huyo unayesema anapumulia watu muulize kama mzee tozi huwa anapumuliwa au anapumulia kuwa na adabu mtoto m little TUNATAKA VYETI HAPA HARAKA SANAmkuu, waache hao, joto wanalopumuliwa na manara kisogoni linawapa taabu, ajabu ni kwamba hawataki kumu unfollow
SHANGAA WEWE HILO SUKULE NI JUZI TU NALISIKIA AMPLIFAYA YA MILLARD LINAJISIFU LIMESOMEA PROPAGANDA CHINA LINA DVANCED DIPLOMA YA SIASA NA MASS COMM KASOMA SOUTH AFRICA SASA KUULIZA VYETI AU MAJINA YA VYUO AU PICHA ZA GRADUATION WATU WAMEKUJA JUU..HEHEHEHEMbona mnamshambulia tu bure mleta hoja, mimi hakuna mtu wa kuniuliza cheti wala vyeti kwasababu sijasema elimu yangu.
Kama Manara alikuwa na sababu ya kuisema elimu yake na nchi alikosomea basi anawajibu pia wa kuthibitisha hiyo elimu na vyuo alikosomea.
Alipokuwa Simba mbona hamkudai vyeti alaa!!?semaji la utopolo linatetewa kwa nguvu zote
Tatizo wengi wanashambulia badala ya kujadili.SHANGAA WEWE HILO SUKULE NI JUZI TU NALISIKIA AMPLIFAYA YA MILLARD LINAJISIFU LIMESOMEA PROPAGANDA CHINA LINA DVANCED DIPLOMA YA SIASA NA MASS COMM KASOMA SOUTH AFRICA SASA KUULIZA VYETI AU MAJINA YA VYUO AU PICHA ZA GRADUATION WATU WAMEKUJA JUU..HEHEHEHE
Unaweza anzishia mada yake hilo suala ,hata ukitaka kulinganisha rangi ya ngozi ,viatu vizuri, saa nzuri, gari ni juu yako MIMI NATAKA VYETI, MAJINA YA VYUO AU PICHA ZA GRADUATIONnitajie msemaji mwenye vyeti ambae walau kafikia hata robo ya mshahara wa Manara
Ndo vinadaiwa sasa, au kuna expiration date ya madai? HAMNA HATA PICHA ZA GRADUATION?Alipokuwa Simba mbona hamkudai vyeti alaa!!?
Uko nje ya mada kabisa. Manara amwdanganya kusoma, mleta mada anaomba vyeti. Ni hilo tu. Punguza muhaho mshauri alete vyeti. Halafu kama ni kudeliver,sasa Manara anadeliver nini zaidi ya porojo na kashfaMfano Elon Musk anaajiri watu kwa kuangalia uwezo wao haijalishi una cheti au hauna, kuna fani sikuhizi watu hawaangalii una cheti au hauna watu wanaangalia uwezo wako wa kukamilisha jambo na kupata matokeo chanya. Unaweza kusoma mass communication, pr, etc Ila ukashindwa ku deliver kama manara. Otherwise achunge tu maneno yake yasiwe ya kuvunjia watu heshima.
HATA PICHA ZA GRADUATION TUUko nje ya mada kabisa. Manara amwdanganya kusoma, mleta mada anaomba vyeti. Ni hilo tu. Punguza muhaho mshauri alete vyeti
Sawa Mo endelea kusubiri vyetiUko nje ya mada kabisa. Manara amwdanganya kusoma, mleta mada anaomba vyeti. Ni hilo tu. Punguza muhaho mshauri alete vyeti
Umenyoosha mikono kiutu uzima kisha umeonyesha rangi yako halisi. Mo atawatia wehu mwaka huuSawa Mo endelea kusubiri vyeti
Basi tuachane na vyeti naona umekuwa mkali kweli HAMNA HATA PICHA ZA GRADUATION? juzi lolopo lilikuwa linahojiwa na Millard ayo linajsifu kweli kusoma China na south africa...nikuliza vyeti mnakuwa wakali basi hata picha za graduuuuuuWaliokuwa wanataka vyeti vya bashite wapumbav kama wewe,na bashite vyeti alikuwa anavyo sasa atakuoneshaje wewe na Gwajima nyie akina nani kwani?
Unataka uone vyeti vya wewe mzazi au muajiri kitengo?
Niwe mkali na nipo na simu yangu tu...mbon unanichekeshaBasi tuachane na vyeti naona umekuwa mkali kweli HAMNA HATA PICHA ZA GRADUATION? juzi lolopo lilikuwa linahojiwa na Millard ayo linajsifu kweli kusoma China na south africa...nikuliza vyeti mnakuwa wakali basi hata picha za graduuuuuu
Mkumbushe basi sukule kwamba leo alhamisi atupe TBT flani basi ya picha za vyuoni China na south africaNiwe mkali na nipo na simu yangu tu...mbon unanichekesha
Ili kumridhisha nani?kuna ubaya akionyesha hadharani hivyo vyeti
Kwahiyo aoneshe vyeti kisa ameitaka Simba kuonesha Sh 20 Billion?! Typica Simba Supporter! Au hujui kwamba Simba sio mali ya mtu binafsi?maana kila siku yeye ni kuiamrisha simba ionyeshe billions 20..na mimi nataka atoe hivyo vyeti tuone au ataje majina ya vyuo na mwaka