STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Wana JF naona tumekuwa tunawasahau Manaibu mawazi katika hili sakata la wizi wa pesa na Rasilimali za WaTZ
Mfana:
1. Omar Nundu anataka kufa na wa kwake pamoja na Katibu Mkuu.
2. Wa Viwanda na Biashara tunamfahamu hata hivyo no Majuzi tu alikuwa na Msala Majuzi kule Singida.
3. Kama Mnakumbuka 2008 Ngeleja alikuwa Naibu waziri hata Miaka minne haijafika Kashakwapua mali za umma Kwa hiyo hata naibu wake wa sasa hakuna sababu ya kumbakiza.
Jamani mtoto wa Nyoka ni Nyoka.
Mfana:
1. Omar Nundu anataka kufa na wa kwake pamoja na Katibu Mkuu.
2. Wa Viwanda na Biashara tunamfahamu hata hivyo no Majuzi tu alikuwa na Msala Majuzi kule Singida.
3. Kama Mnakumbuka 2008 Ngeleja alikuwa Naibu waziri hata Miaka minne haijafika Kashakwapua mali za umma Kwa hiyo hata naibu wake wa sasa hakuna sababu ya kumbakiza.
Jamani mtoto wa Nyoka ni Nyoka.