Manabii wasifumbiwe macho wanapotukana mamlaka

Manabii wasifumbiwe macho wanapotukana mamlaka

Developer IOS

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2017
Posts
1,456
Reaction score
1,410
Habari wakuu,

Tunaomba Serikali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.

Kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.

Juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebehi Mh rais. Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.

Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
 
Na Mwenyekiti wako anapoisigina Katiba ya nchi aliyoapa kuilinda na kuitii, unataka achekewe!

Kakobe ni shujaa kwa kumpa "makavu" Mwenyekiti wako na kumwambia atubu dhambi yake ya kuisigina Katiba, ikiwa inamuelekeza kuwa hii nchi ni ya vyama Vingi, wakati yeye anataka kuierejesha ya chama kimoja kwa mtutu wa bunduki.

Inabidi kila mwananchi wa nchi hii apaze sauti yake kwa nguvu zote ili huyu "dikteta uchwara" aweze kubadili gia angani
 
Habari wakuu,tunaomba seriakali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini uchwara kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebei mh rais.Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.

Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Kwani nabii wa uongo hapa Tanzania ni nani?
 
Habari wakuu,tunaomba seriakali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini uchwara kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebei mh rais.Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.

Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
YESU alimwambia Pilato "Mamlaka hayo umepewa na Baba yangu"
Screenshot_20170917-133608.jpg

Acheni ujinga na upumbavu wa kumwabudu magufail.
 
Habari wakuu,tunaomba seriakali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini uchwara kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebei mh rais.Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.

Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Hili povu lisifumbiwe macho hata kidogo malaka husika mlifanyie kazi
 
Mleta hoja mwandiko wako unawakilisha upeo wako!! Kiongozi wa nchi lazima aonyeshwe kasoro za kiutendaji zinazomzunguka. Asipoonyeshwa atadanganywa na wanaomzunguka kuwa mambo yako shwari kumbe ni kinyume chake!! Hata kina Trump wanakosolewa, msimfanye kiongozi wetu kuwa mungu mtu .

Nchi ilishaingia mfumo wa vyama vingi. Viachwe vifanye kazi zake za kikatiba !! Manyanyaso sio maendeleo ya nchi bali mbegu mbaya isiyo na dawa.
 
Habari wakuu,tunaomba seriakali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini uchwara kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebei mh rais.Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.

Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Unatumia vifungu vya bibilia ku justfy matendo ya le boss pale magogoni. Ila akisemwa kwa ukweli mnakuwa wakali . Alichosema askof ni kweli kabisa, haijalishi ni fake or real , kauli aliyotoa inaakisi ukweli.
 
Wakiwasifia ni manabii wa ukweli, wakiwakosoa ni wanabii wa uongo, huyo ndugu yenu angekuwa chaguo la Mungu angeshinda kwa 100%

Baadhi ya wahubiri siku hizi hawahubiri neno wanashambulia dola. Yapo mambo mengi ya kuzungumzia Kanisani kwa faida ya waumini na Injili ya Yesu.
 
Baadhi ya wahubiri siku hizi hawahubiri neno wanashambulia dola
Yapo mambo mengi ya kuzungumzia Kanisani kwa faida ya waumini na Injili ya Yesu.
Yesu keshahubiriwa kiazi cha kutosha. Na mlidanganywa atarudi.....
 
Habari wakuu,tunaomba seriakali isifumbie macho manabii wote wanaotukana mamlaka ambazo zimewekwa na watu wengi kwani chaguo la wengi ni chaguo la mungu.kumeibuka na tabia mbaya ya viongozi wa dini uchwara kutafuta kiki kwa kutukana mamlaka ili wapate watu kwenye ibada zao ili kuongeza sadaka kwan watanzania wengi wanapend umbea.juzi tumeshuhudia kiongozi mmoja wa dini akimtukana na kumkebei mh rais.Naomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimchukulie hatua kali kwani kitendo cha kumdhalilisha rais ni sawa na kutukana watanzania wengi tuliomchagua kwa kura nyingi za upendo pia ni sawa na kuitukana nchi yetu.

Naomba ninukuu maneno ya bibilia Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Exactly!
 
Mleta hoja usijidanganye na kuwadanganya wengine kuwa tawala zote zatoka kwa Mungu! Sio kweli hata kidogo kutokana na ushahidi huu wa herode na waisrael enzi za utumwa alivyokuwa anashindana na Mungu kuhusu kuwaachia waisrael ili waende nchi ya ahadi. Herode alikuwa mfalme na hakuwa chaguo la Mungu. Na mifano ipo mingi tu. Hivyo usimtumie Mungu kujustify na kuhalalisha dhuluma juu ya watu wa Mungu.
Kwa taarifa yako hata wanasiasa ni manabii na wanahubiria wafuasi wao habari za uongo nao uwakatae pia.
 
Baadhi ya wahubiri siku hizi hawahubiri neno wanashambulia dola. Yapo mambo mengi ya kuzungumzia Kanisani kwa faida ya waumini na Injili ya Yesu.
Umejua hayo baada mshika akili zako kuambiwa ukweli? Aliposifiwa kinafiki (Zimbabwe ) ukafurahi mpaka ukatokwa machozi, leo kawapa za uso mmekuwa kama umekatwa mkia bila ganzi (sorry mkia wa binadamu ulishaga perish )
 
Back
Top Bottom