Man Utd vs Real Madrid - March 05, 2013: Post match feedback

Man Utd wametolewa na timu bora, hakuna wa kulaumiwa!
 
Poleni Wapinzani ndio Football tehteh! sio siku zote Refa atakuwa upande wenu. ila kaiuwa game.
 
Well done Man U, congrats to Real!! Till next time, PAMOJA sana!!!

Haya watani wetu ruksa kumwaga comments zenu...bila nyie football hainogi🙂)))
 
Wawakilishi waliobaki kutoka England ni Gunners pekee mpende msipende khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtakoma na mambo ya Gunners . .... .... yaani chichi inabidi mtuombee tuwakung'ute wajerumani .... .... ..
 
@BelindaJacob & Co pole sana wakuu. Kuvunjka kwa koleo si mwisho wa uhunzi mtajaribu tena 2014.
 
baada ya majigambo mengi mtaani hatimaye jose morinho amekata ngebe za man u pale pale old trafford.ni furaha ilioje!
 
card ilikuwa mbaya lakini ref kazidisha baada ya Nani kufanya kaumia ili asipate yellow card na kweli hakupata yellow kapata red kabisa na alikuwa anajua nini kinafuata ndio maana aliect dive+foul=red
 

























Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
hatuongei sana...anayefahamu mpira na kuangalia leo anajua cha kusema....Viva Man U..
 



Wewe unakwenda wapi?









Mtalia sana mwaka huu .. ... .



Mod stunner: The former Spurs midfielder fired
home an unstoppable equaliser





Crushed: United were sent out by the foot
a man the fans used to idolise

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…