Man utd fans:Mata ana nafasi ndani ya timu?

Man utd fans:Mata ana nafasi ndani ya timu?

Nakapanya

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2012
Posts
2,096
Reaction score
709
Kuna tetesi zimezagaa katika vyombo vya habari hususani vile vya Uingereza kuwa Manchester united wanakaribia kumsajili Juan Mata kutoka Chelsea kwa ada ya uhamisho inayokadiriwa kufikia paundi milioni arobaini dau ambalo litavunja rekodi ya klabu katika usajili.

Sina shaka uwezo wa Mata uwanjani,tatizo langu ni je tunamuhitaji Mata katika timu ya Man Utd?,je mchezaji huyu atacheza namba ngapi ikiwa namba anayocheza tayari kuna wachezaji wapo Rooney na Kagawa akikaa benchi kumsubiria Rooney aumie?kama ataamua kumchezesha winga kushoto kule si ndio wapo wengi mpaka wengine wanalilia kuondoka(Luis Nani),pia kuna Januzaji,Young.

Mimi naungana na mawazo ya Gary Nevile kuwa Mata sio chaguo sahihi kwa manchester united kwa sasa,itafute wchezaji wanohitajika katika timu.Au ndio maandalizi ya kuondoka kwa Rooney mwishoni mwa msimu?
 
Nakapanya
Man United inahitaji kujengwa upya kuna wachezaji wengi wana miaka 30+(Giggs,Rio,Vidic,Fletcher,Evra,RVP,Carick) Valencia,Young na Rooney wote wanatimiza miaka 29 while Mata ana miaka 25 na tayari ana uzoefu na EPL
Mata anaweza kucheza winga zote (kulia na kushoto),namba 8,10 na pia ni kiungo ambaye anafunga magoli na hilo ni tatizo kubwa la Man United hakuna viungo wanafunga magoli.

Pamoja na kumsajili Mata still timu inahitaji viungo wakabaji kama Pogba,Vidal,Cabaye so sidhani kama usajili wa Mata ndio wa mwisho.

Then hakuna guarantee kama Rooney atabaki i hope umeona anavyotingisha kiberiti
 
Last edited by a moderator:
Kuwa na Shinji Kagawa mchezaji aliyekamilika na kumsajili Juan Mata kiungo asiye na spidi ya mchezo ni dhahiri inaonyesha ni namna gani Moyes kachanganyikiwa..nahisi huu ulitakiwa uwe muda sahihi kwa kagawa kurudi nyumbani BVB.
"Nlikuwepo":bolt:
 
Kuwa na Shinji Kagawa mchezaji aliyekamilika na kumsajili Juan Mata kiungo asiye na spidi ya mchezo ni dhahiri inaonyesha ni namna gani Moyes kachanganyikiwa..nahisi huu ulitakiwa uwe muda sahihi kwa kagawa kurudi nyumbani BVB.
"Nlikuwepo":bolt:

Mata ni kiungo asiye na speed? Tangu Kagawa amesajiliwa ameshindwa kufikia expectation
Nina wasiwasi kama unaangalia mpira wa EPL
 
Kagawa yuko fiti kuliko hata huyo Mata,angalia hata mechi ambazo kagawa ameanza zilileta matokeo gani kwa man u.Hata UCL pia.Mata ameshindwa kujiprove kwa Mourinho na ndio maana benchi lilikuwa linamuandama na badala yake Oscar kwa kushirikiana na Willian wanafanikisha kile ambacho Mata ameshindwa.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Kagawa yuko fiti kuliko hata huyo Mata,angalia hata mechi ambazo kagawa ameanza zilileta matokeo gani kwa man u.Hata UCL pia.Mata ameshindwa kujiprove kwa Mourinho na ndio maana benchi lilikuwa linamuandama na badala yake Oscar kwa kushirikiana na Willian wanafanikisha kile ambacho Mata ameshindwa.

"Nlikuwepo":bolt:

Unaangalia mechi za Man United lakini ? Kagawa amecheza mechi nyingi sana kwenye ligi still hana assist wala goli hata moja msimu huu.Kagawa was the best alipokuwa Dortmund since amekuja United hajawahi kufika kiwango alichokuwa nacho akiwa Dortmund

Jose Morinho ni kocha anayependa wachezaji wanaokaba ndio sababu ya Mata kuwekwa benchi i hope ulimwona Mata kabla Morinyo hajatua.He was the best Chelsea player for two consecutive season
 
Kuwa na Shinji Kagawa mchezaji aliyekamilika na kumsajili Juan Mata kiungo asiye na spidi ya mchezo ni dhahiri inaonyesha ni namna gani Moyes kachanganyikiwa..nahisi huu ulitakiwa uwe muda sahihi kwa kagawa kurudi nyumbani BVB.
"Nlikuwepo":bolt:



hapa mkuu naona umeteleza kidogo,mata ana spidi kubwa ya mchezo kuliko huyo kagawa na ndo maana alikuwa mchezaji bora wa chelsea kwa misimu miwili iliyopita.

wengi wanalaumu huu usajili wa mata lkn wamesahau hata ozil pia walisema alikuwa hahitajiki arsenal kwa sababu st.cazorla yupo lkn angalia jinsi wenger alivyomfix na kuiboresha arsenal huku akiwapanga wote wawili tena wanacheza kwa ushirikiano mzuri.

simfagilii moyes hata kidogo ila kwa usajili huu namuunga mkono kwani utasaidia kupunguza weakness ya mabeki wa man u kwani njia moja wapo ya kujilinda ni kushambulia pia
 
hapa mkuu naona umeteleza kidogo,mata ana spidi kubwa ya mchezo kuliko huyo kagawa na ndo maana alikuwa mchezaji bora wa chelsea kwa misimu miwili iliyopita.

wengi wanalaumu huu usajili wa mata lkn wamesahau hata ozil pia walisema alikuwa hahitajiki arsenal kwa sababu st.cazorla yupo lkn angalia jinsi wenger alivyomfix na kuiboresha arsenal huku akiwapanga wote wawili tena wanacheza kwa ushirikiano mzuri.

simfagilii moyes hata kidogo ila kwa usajili huu namuunga mkono kwani utasaidia kupunguza weakness ya mabeki wa man u kwani njia moja wapo ya kujilinda ni kushambulia pia

Sijakataa kaka,ila sidhani kama Moyes ataweza kumfix mtu kama Mata ili aje kuwa na impact kubwa kwa timu,ni vipi mlivyoongea juu ya ujio wa Fellaini?

"Nlikuwepo":bolt:
 
Sijakataa kaka,ila sidhani kama Moyes ataweza kumfix mtu kama Mata ili aje kuwa na impact kubwa kwa timu,ni vipi mlivyoongea juu ya ujio wa Fellaini?

"Nlikuwepo":bolt:

Timu nzima inahitaji reshuffle wachezaji zaidi ya 10 wataondolewa tayari ameanza na Anderson tatizo kubwa mashabiki wengi wanataka impact ya wachezaji ionekane mapema kwa kuwa timu inafanya vibaya kwa sasa naamini hata Felaini anaweza kuwa na msaada baadae
 
Nakapanya
Man United inahitaji kujengwa upya kuna wachezaji wengi wana miaka 30+(Giggs,Rio,Vidic,Fletcher,Evra,RVP,Carick) Valencia,Young na Rooney wote wanatimiza miaka 29 while Mata ana miaka 25 na tayari ana uzoefu na EPL
Mata anaweza kucheza winga zote (kulia na kushoto),namba 8,10 na pia ni kiungo ambaye anafunga magoli na hilo ni tatizo kubwa la Man United hakuna viungo wanafunga magoli.

Pamoja na kumsajili Mata still timu inahitaji viungo wakabaji kama Pogba,Vidal,Cabaye so sidhani kama usajili wa Mata ndio wa mwisho.

Then hakuna guarantee kama Rooney atabaki i hope umeona anavyotingisha kiberiti

ni kweli Rooney anatishia kuondoka,sasa vp kama asipoondoka?na hata akiondoka Kagawa si tunaye ,anaweza kucheza kama wing na inside ten,sasa Juan Mata wa nini?hao uliowatajaCabaye,Vidal na Pogba ndio aina ya wachezaj tunaowahitaj kwa sasa sio Mata
 
Last edited by a moderator:
Mata ni kiungo asiye na speed? Tangu Kagawa amesajiliwa ameshindwa kufikia expectation
Nina wasiwasi kama unaangalia mpira wa EPL

expectation zipi unazozungumzia mkuu
 
Unaangalia mechi za Man United lakini ? Kagawa amecheza mechi nyingi sana kwenye ligi still hana assist wala goli hata moja msimu huu.Kagawa was the best alipokuwa Dortmund since amekuja United hajawahi kufika kiwango alichokuwa nacho akiwa Dortmund

Jose Morinho ni kocha anayependa wachezaji wanaokaba ndio sababu ya Mata kuwekwa benchi i hope ulimwona Mata kabla Morinyo hajatua.He was the best Chelsea player for two consecutive season

msimu huu Kagawa amecheza mechi tisa tu,na hizo mechi tisa nyingi hajamilza dakika tisini,unafikiria mchezaj atakuwa na outstanding performance,give him a time to play
 
hapa mkuu naona umeteleza kidogo,mata ana spidi kubwa ya mchezo kuliko huyo kagawa na ndo maana alikuwa mchezaji bora wa chelsea kwa misimu miwili iliyopita.

wengi wanalaumu huu usajili wa mata lkn wamesahau hata ozil pia walisema alikuwa hahitajiki arsenal kwa sababu st.cazorla yupo lkn angalia jinsi wenger alivyomfix na kuiboresha arsenal huku akiwapanga wote wawili tena wanacheza kwa ushirikiano mzuri.

simfagilii moyes hata kidogo ila kwa usajili huu namuunga mkono kwani utasaidia kupunguza weakness ya mabeki wa man u kwani njia moja wapo ya kujilinda ni kushambulia pia

kama hiyo ya kushambulia ingekuwa ni njia mojawapo ya kudefence bac Mourinho asingemruhusu Mata aondoke na angekuwa anamtumia,Mata kama Kagawa wote wana weakness ya kukaba timu inaposhambuliwa
 
Timu nzima inahitaji reshuffle wachezaji zaidi ya 10 wataondolewa tayari ameanza na Anderson tatizo kubwa mashabiki wengi wanataka impact ya wachezaji ionekane mapema kwa kuwa timu inafanya vibaya kwa sasa naamini hata Felaini anaweza kuwa na msaada baadae

anderson hajauzwa ameenda kwa mkopo
 
Kuna tetesi zimezagaa katika vyombo vya habari hususani vile vya Uingereza kuwa Manchester united wanakaribia kumsajili Juan Mata kutoka Chelsea kwa ada ya uhamisho inayokadiriwa kufikia paundi milioni arobaini dau ambalo litavunja rekodi ya klabu katika usajili.

Sina shaka uwezo wa Mata uwanjani,tatizo langu ni je tunamuhitaji Mata katika timu ya Man Utd?,je mchezaji huyu atacheza namba ngapi ikiwa namba anayocheza tayari kuna wachezaji wapo Rooney na Kagawa akikaa benchi kumsubiria Rooney aumie?kama ataamua kumchezesha winga kushoto kule si ndio wapo wengi mpaka wengine wanalilia kuondoka(Luis Nani),pia kuna Januzaji,Young.

Mimi naungana na mawazo ya Gary Nevile kuwa Mata sio chaguo sahihi kwa manchester united kwa sasa,itafute wchezaji wanohitajika katika timu.Au ndio maandalizi ya kuondoka kwa Rooney mwishoni mwa msimu?
Hapa ndipo kwenye jibu la usajili wake kama ni kweli.
 
Mechi ya kwanza MAN U ilifungwa 2-1, jana MAN U imeshinda 2-1. Hivi wadau kwa matokeo ya jana CAPITAL ONE, nini nafasi ya Manchester United?
 
kama hiyo ya kushambulia ingekuwa ni njia mojawapo ya kudefence bac Mourinho asingemruhusu Mata aondoke na angekuwa anamtumia,Mata kama Kagawa wote wana weakness ya kukaba timu inaposhambuliwa

Nilitaka kukujibu ila nimeona niache tu. Unamlinganisha Mata na Kagawa?????? sina uhakika kama hua unaangalia mechi za Utd na Chelsea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom