Man U kuraruana na Arsenal

Sitegemei kuona mechi yenye msisimko leo. Hii mechi ni muhimu kwa Utd tu. Haina umuhimu sana kwa Arsenal (kujituma kwao itakuwa 50% - 50%).
 
Sitegemei kuona mechi yenye msisimko leo. Hii mechi ni muhimu kwa Utd tu. Haina umuhimu sana kwa Arsenal (kujituma kwao itakuwa 50% - 50%).

Mechi muhimu sana kwa Arsenal asikudanganye mtu; unafikiri wenye gunners wanafurahia kuwa kichwa cha mwendawazimu? Patience inapungua na Wenger aweza kupoteza kibarua hivi hivi, hivyo Arsenal watacheza kwa nguvu zote.
Si hilo tu; Arsenal watataka kulipa kisasi, na watafurahi sana kuwaharibia Man United kutangazwa mabingwa kwao, tegemea mechi kali.

Ila binafsi sina wasiwasi na Man United, najua Gunners wakijitahidi sana, wataishia draw.

Hapa nishaandaa $50 ya kwenda kusherehekea ushindi! Karibu tushiriki.
 
Back
Top Bottom