Mechi muhimu sana kwa Arsenal asikudanganye mtu; unafikiri wenye gunners wanafurahia kuwa kichwa cha mwendawazimu? Patience inapungua na Wenger aweza kupoteza kibarua hivi hivi, hivyo Arsenal watacheza kwa nguvu zote.
Si hilo tu; Arsenal watataka kulipa kisasi, na watafurahi sana kuwaharibia Man United kutangazwa mabingwa kwao, tegemea mechi kali.
Ila binafsi sina wasiwasi na Man United, najua Gunners wakijitahidi sana, wataishia draw.
Hapa nishaandaa $50 ya kwenda kusherehekea ushindi! Karibu tushiriki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.