Tuna imani kuu mbili duniani imani za kiroho na imani za kimwiliHaaaa kaz kweli kweli, mm Mkristo
Nina kanzu, Kofia, na Msuli. Pia navaa sana.
Hao wanavaa magauni ya upako.Nadhani hata Wachungaji na Maaskofu wataasemwa kuwa ni Waislam!
Vv
Kafiri ni Mtu anaeabudu KISICHO MUNGU MMOJA.maana ya kafiri ni nini?
Bi mkubwa Wacha unafiki wa kitoto .Kwa taarifa yako Ndani ya Taifa la Philippines hakuna msikiti...!
Ahsante mkuu.... huyu jamaa ataelewa... umempa ukweli arudi tena akajipange...Kama hujui kitu ni bora unyamaze brother, kanzu ni vazi la Kiarabu na alivaa alipoenda Qatar mwaka jana,
Huyu jamaa ni mkristo safi sana na kumwacha Yesu ni ngumu, kama ilivyo jina lake "EMMANUEL"...
MFUATILIE ZAIDI HAPA OFFICIAL PAGE YAKE: Manny Pacquiao
View attachment 342062
Hongera zake kwa kufuata mfano wa Mohamed ali na Tyson, sasa ataenda peponi