Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,082
Reference please.....Jina lake:Emanuel Pacquiao Dapidran a.k.a Pacquiao
Kazaliwa:17 - Dec-1978 Kabawai Philippine
Boxer wa kwanza kutoka katika bara la Asia kushinda tunzo 5 tofauti tofauti kwa uzito tofauti
Dini yake katoliki na mara nyingi huwa akishinda pambano lake bas hupeleka sadaka kanisan
Ila kwa sasa haswali tena kikatoliki na anajifunza Uislam ila bado haja silimu
Allah amuepesishie aukubali Uislam in shaa Allah
Bora wewe naweza kukusikiliza.tuache kujivunia dini za waarabu,mayahudi na wazungu..
hakuna mahali ambapo mtu mweusi aliwahi kukosolewa ktk vitabu vitakatifu kama walivyokosolewa waarabu na mayahudi..
hivyo tupende mila zetu ikiwa ni pamoja na namna mababu walivyomuabudu Mungu na kupata majibu ya haraka kutoka kwa Mungu kuliko kumuomba kupitia hizi imani za kuigiza ambazo majibu yake ni indirect..
Matendo ndugukinachompeleka mtu peponi ni dini au matendo?
coz unaweza kuwa una swali sana lakini matendo ni sifuri kutwa kushinda kwa waganga na kufuga.
nikipi haswa kinachompeleka mtu pepo ni uislamu,ukristo au matendo?
Day Tyson alipougeukia huko alipoteza na mwelekeo hadi leo maana arikaribisha maroho ya ajabu ajabu kumfatilia so mfilipino he must watch outHongera zake kwa kufuata mfano wa Mohamed ali na Tyson, sasa ataenda peponi
nenda shule ww ni mbumbu! wewe hujui mtu mashuhuri kuingia kwa hiari yake bila kulazimishwa katika uislam kunawashawishi wengi kuufatilia na kuusoma kujua kuna nini huku mpaka huyu kujiunga? tofauti na kutumia ushawishi wa hela?Najua shule yangu huifikii, lakini nimesema kama ndio hivyo kwa nini msifanye kama nike au adidas au samsung muwalipe watu maarufu wawe wanavaa jezi au nembo yenye neno uislam ili wazidi kuutangaza?
Mbona ni rahisi tu kama mnataka kutumia watu maarufu wautangaze usialam, chukueni dili na epl muwe wazamini au eufa muitoe heinken, au mfadhili madrid wawatangaze wawe wanavaa jezi yenye neno uislam, hakika mtashangaa mtakavyokua maarufu, au mfadhili miss world, hapa tanzania anzeni na miss tanzania au bibi bomba.
Story za msikitini hizo.Mi nakupa pole sana..zinduka. Uislam ndo dini ya haki hata Yesu alibashiri ujio wa Uislam sema tu wahuni waliibadilisha Injili wakaweka mambo wanayotaka wao kwa maslahi yao
Quran ipo moja tu na haibadiliki..lakini tazama bible..version kibaao na bado watu wanakaa vikao kuibadilisha.
Zinduka mkuu..tafakari sana juu ya hili.
Na atapewa wanawake wazuri 72 na pombe za kumwaga peponi rahaaaaaaaaHongera zake kwa kufuata mfano wa Mohamed ali na Tyson, sasa ataenda peponi
mimi huyo nibadili niwe muislamu? soma vizuri quruani halafu utajua dini ya kweli ni ipiMi nakupa pole sana..zinduka. Uislam ndo dini ya haki hata Yesu alibashiri ujio wa Uislam sema tu wahuni waliibadilisha Injili wakaweka mambo wanayotaka wao kwa maslahi yao
Quran ipo moja tu na haibadiliki..lakini tazama bible..version kibaao na bado watu wanakaa vikao kuibadilisha.
Zinduka mkuu..tafakari sana juu ya hili.
Labda tu tukuambie kua Manny si mromani ni mlokole,pia kuvaa kanzu sioni tatizo.Jina lake:Emanuel Pacquiao Dapidran a.k.a Pacquiao
Kazaliwa:17 - Dec-1978 Kabawai Philippine
Boxer wa kwanza kutoka katika bara la Asia kushinda tunzo 5 tofauti tofauti kwa uzito tofauti
Dini yake katoliki na mara nyingi huwa akishinda pambano lake bas hupeleka sadaka kanisan
Ila kwa sasa haswali tena kikatoliki na anajifunza Uislam ila bado haja silimu
Allah amuepesishie aukubali Uislam in shaa Allah
dini tofauti na biashara ni mahusiano kati ya mtu na mungu wake anayemuamini. haina maana mtu mmoja maarufu akienda peponi watu wote wa imani yake wataenda peponi. kwa mungu hakuna umaarufu. pigana kivyako
Jina lake:Emanuel Pacquiao Dapidran a.k.a Pacquiao
Kazaliwa:17 - Dec-1978 Kabawai Philippine
Boxer wa kwanza kutoka katika bara la Asia kushinda tunzo 5 tofauti tofauti kwa uzito tofauti
Dini yake katoliki na mara nyingi huwa akishinda pambano lake bas hupeleka sadaka kanisan
Ila kwa sasa haswali tena kikatoliki na anajifunza Uislam ila bado haja silimu
Allah amuepesishie aukubali Uislam in shaa Allah
Swali zuri sanahivi kanzu ni dini au utamaduni?