George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,021
- 4,913
Zipo..!Ok mkuu
Manfongo peke yake, and na mwingine kama yupo.
Na wasanii wengine wapo piah..!
NYONGEZA(japo nimetoka nje ya mada): Huyo Man Fongo ni MCHUMBA tu kwenye game ya SINGELI..!
Zipo..!Ok mkuu
Manfongo peke yake, and na mwingine kama yupo.
Mkuu ungetusaidia kuwafahamu hao wengine ili kujustify maneno ya manfongo.Zipo..!
Na wasanii wengine wapo piah..!
NYONGEZA(japo nimetoka nje ya mada): Huyo Man Fongo ni MCHUMBA tu kwenye game ya SINGELI..!
Sawa...Mkuu ungetusaidia kuwafahamu hao wengine ili kujustify maneno ya manfongo.
To be honest, hiyo single yake ya shemeji tunakulaga ndio imenijulisha kuwa kuna mtindo unaitwa Sengeli.
Gea umependwa leo na busu juu
Jipe muda utauelewa tuu.ni mziki mzuri kwakweli.Hauchezeki!
Ni makelele tu.
Ukitaka kucheza labda ujitoe fahamu halafu uanze kupayuka payuka 'haina ushemeji tunakula...hainaga ushemeji tunakulaga'.
Muziki gani sasa huo?
Hautadumu nakwambia!
Acha kukurupuka na kuandika usichokijua..!Kwanza neno lililowafurahisha ni hainaga ushemeji sasa baadae sijui watatafuta msamiati gani?Hakuna muziki hapo ni makelele tu na huwa nashangaa sana wabongo kwa kushobokea mambo yasiyo na msingi
Ahhahaha acha nipendwe banaaa unanionea gere
Mkuu Kwa SHUDU anazoandika huyu KIUMBE...habari dada, kama kweli ndio gea habib.. fuata utaratibu mods waku verify.. asije mtu akatumia nina lako vibaya akakuharibia kwa anayooandika humu
Mkuu umenikumbusha nyimbo ya celine dion to love you more iliyopigwa kwa karioke na mzee mmoja mtaalam sana sasa ndo najaribu kuvuta picha wamchukue huyo mzee ampigie karioke huyo manfongo aimbe hiyo hainaga ushemeji sijui kitapatikana kitu gani hapoAaah wapi. Hizo nyimbo zitapigwa uswazi huko huko ndo zitakua maarufu. Mtu huwez kaa kny karioke unaimba eti hainaga ushemeji 2nakulaga. Miziki hiyo imelenga uswazi na majority ni wa2 wenye vipato vya chini. Michiriku ilkuwepo zamani lkn hukuti kny sherehe inayofanyika ukumbini wameeka mchiriku utakuta kny midundiko ndo wameeka michiriku. Na haifiki kokote hyo style ya mziki.
Mkuu umenikumbusha nyimbo ya celine dion to love you more iliyopigwa kwa karioke na mzee mmoja mtaalam sana sasa ndo najaribu kuvuta picha wamchukue huyo mzee ampigie karioke huyo manfongo aimbe hiyo hainaga ushemeji sijui kitapatikana kitu gani hapo
Kile chuma sijui kivimba macho khatari sana kile kilinung'unika mule huku kinatikisa kichwa ilikuwa burdan.Mkuu umenikumbusha nyimbo ya celine dion to love you more iliyopigwa kwa karioke na mzee mmoja mtaalam sana sasa ndo najaribu kuvuta picha wamchukue huyo mzee ampigie karioke huyo manfongo aimbe hiyo hainaga ushemeji sijui kitapatikana kitu gani hapo
Waliyoikuza ndio wa kulaumiwa, muimbaji mtamuonea bure, yeye aliilenga hadhira yake ya akina Kanga moko, Vigodoro na Wanaofanania huko...sasa nyie Wenzangu mie kujipeleka huko mmeyataka wenyewe.Waimbe vitu vya maana..
Hakunaga ushemeji ni nyimbo mbaya ina ujumbe mbaya sijui kwa nini haijafunhiwa na tcra..
Wasukuma kila kitu kwao ni kigeni sio fongo tu hata alivyopanda star boy wao waliendelea kushangaa tu kama hawajui wamefata nini pale