Man city Vs Barcelona @Etihad Stadium

Man city Vs Barcelona @Etihad Stadium

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
11,449
Reaction score
9,739
wadau round ya 16 bora ndio inaanza leo, moja kati ya mechi kali ni hii itakayopigwa Man City Vs Barca saa 4:45 kwa saa za Afrika Mashariki, kama mdau wa michezo tupia maoni yako hapa kabla, wakati na baada ya mechi. Karibuni wadau
 
Man city ina hati hati ya kumkosa Fernandinho pamoja na Kun Aguero, kwa hali hii ubashiri wangu ni kufungwa kwa city au suluhu.
 
Kama FCB watacheza zile one...two zao man City wanaweza poteza mechi kwa sababu itamsumbua sana toure ambaye ni key Player katika kuichezesha City ila kama watataka kutumia sana chenga basi waweza kuzidiwa kwa counter attack na City..in real sense game ngumu bt FCB watashinda
 
Lazima city akae leo.
Maana hawa FCB wamerudi kwenye kiwango chao sasa.Kile kipigo cha mwaka jana cha 7-0 nje ndani kutoka kwa wajerumani kimewajenga poooooa.
FT:Man city 1-3FCB.
 
Kama FCB watacheza zile one...two zao man City wanaweza poteza mechi kwa sababu itamsumbua sana toure ambaye ni key Player katika kuichezesha City ila kama watataka kutumia sana chenga basi waweza kuzidiwa kwa counter attack na City..in real sense game ngumu bt FCB watashinda
asante kwa maoni yako mkuu..
 
Lazima city akae leo.
Maana hawa FCB wamerudi kwenye kiwango chao sasa.Kile kipigo cha mwaka jana cha 7-0 nje ndani kutoka kwa wajerumani kimewajenga poooooa.
FT:Man city 1-3FCB.
invert hilo tokeo mkuu japokuwa bench la city ndio la barca itashinda leo city..
 
Kama FCB watacheza zile one...two zao man City wanaweza poteza mechi kwa sababu itamsumbua sana toure ambaye ni key Player katika kuichezesha City ila kama watataka kutumia sana chenga basi waweza kuzidiwa kwa counter attack na City..in real sense game ngumu bt FCB watashinda

kama Yaya Toure akipotea,Barca anaweza kushinda ushindi mkubwa na kufanya mechi ya marudiano ipoteze ladha
 
Lazima city akae leo.
Maana hawa FCB wamerudi kwenye kiwango chao sasa.Kile kipigo cha mwaka jana cha 7-0 nje ndani kutoka kwa wajerumani kimewajenga poooooa.
FT:Man city 1-3FCB.

mkuu nakuunga mkono 100%
 
LEO waarabu lazima tuwavue vilemba messi neymer alex sanches xavi iniesta full nondo catalunya
 
Kwa takwimu za kuanzia mwaka 2012,katika hatua ya mtoano, Barca wamekuwa wakipoteza mechi nyingi za ugenini, na kusubiria kupindua matokeo katika mechi ya marudiano wakiwa kwao, rejea mechi Yao na Milan, PSG, Inter Milan ya Mourinho,n.k. Hivyo, takwimu na historia zinaonesha Barca wanapoteza mechi ya Leo. Hata hvyo huu ni mpira,tusubiri tuone lolote laweza tokea.
 
Ni mechi nzuri ambayo haina utabiri wa kirahisi..Ila Manchester City nawapa kete yangu kuweza kuibuka mshindi leo..Hii ni kutoka na kasi na nguvu ya uchezaji wao..City licha ya kumkosa Aguero na Fernandinho na nikiingalia safu ya ulinzi ya Barca sidhani kama Negredo au Jovetic au Dzeko kupata shida leo...Hii mechi itaamuliwa na ulinzi wa Barca...Nahisi Barca watapwaya nyuma ambapo itawapelekea kuadhibiwa leo.....
 
hahahahaha kazi ipo Barcelona huwa hatuna haraka ninaimani tutashida game ya leo
 
Back
Top Bottom