mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,513
kasome taratibu za hii platform kwanza halafu ujitafakari,hairuhusiwi kuanika utambukishio wa mtu bila ridha yake.Kama ambavyo Paulo aliandika Waraka kwa Wakorintho, ndivyo ambavyo nami natuma salamu kwako mkorinto
Umejipachika jina hilo na una tabia za kike kike kama ambavyo Wakorintho walikuwa wakiamini mungu mwanamke.
Nilidhani ili kuishibisha andiko lako kuwa na mantiki, ungeweka jina la Dereva na uthibitishe kwamba ni shabiki wa Simba. Ila umejaa porojo ka shoga asiye na soko, umebaki na dhania tu.
Smart gin ni nini?
mambo ya kike kike ni haya ya kuchukulia kila kitu jumla jumla,wewe umeona gari lina stiker za yanga,umeshahitimisha mwenye gari ni shabiki wa yanga,dereva ni shabiki wa yanga,abiria ni watu wa yanga.
acha akili yako iingize hewa hata kidogo tu utaoana faida zake.