Mamlaka zimegoma kuifungia New Force?

Mamlaka zimegoma kuifungia New Force?

wakukurupuka1

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
525
Reaction score
1,211
Baada ya jana Jumapili kupata ajali basi lake moja. Leo Jumatatu gari lake jingine limemgonga mwanajeshi Makambako. Chanzo cha ajali ni mwendokasi na overtaking ya ovyo Kwa dereva wa kampuni hiyo.

Tukumbuke hii gari Ndio ilipata ajali mwezi wa sita maeneo ya Mlandizi kwa dereva huyo kugonga lori

Mamlaka zimegoma kuifungia na kuwafutia leseni madereva wa kampuni hiyo.

Pia, soma=> Basi 38 za new force zapigwa stop na LATRA
 
Nyuzi zote za ajali ya New Force huwa unazileta wewe, inabidi uchunguzwe huenda unaihujumu hii kampuni
Na anazileta kishabiki bila weledi wowote ule.. kwa maana anafurahia.. itakuwa ni miongoni mwa timu ya hujuma za Kiswahili kwa maana wanajua hadi eneo litakalotokea ajali.

Huyu anaweza kuwa mshindani wa hili kampuni kwa maana nae ana kampuni ya mabasi au dereva alifukuzwa kazi huko ama trafiki labda madereva wa kampuni hiyo hawampi pesa ya soda..yote yanawezekana.
 
Back
Top Bottom