Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Gazeti la Nipashe la leo linatutaaarifu ya kuwa mamilioni ya fedha yanaendelea kuteketezwa kuwalipia mawaziri ambao wapo mahotelini...................................
Hili siyo jipya kwa JK kwani alipoingia madarakani mwaka 2005 kashfa hii ndiyo ilikuwa ya kwanza kuighubika serikali yake mbali ya ukweli aliunda serikali kubwa ambayo ni mzigo mkubwa kwa walipa kodi...........................
JK na serikali yake ilijibu ya kuwa walikuwa wanajenga nyumba kwa kila waziri nyumba ambazo zilikadiriwa kuligharimu Taifa Tshs 85 Milioni kwa kila nyumba..................Kisichoeleweka ni kwa sababu zipi mawaziri hao hawahamii kwenye nyumba hizo za serikali au ukubwa wa baraza la mawaziri una sababisha ziwe nyumba haba?
Hili siyo jipya kwa JK kwani alipoingia madarakani mwaka 2005 kashfa hii ndiyo ilikuwa ya kwanza kuighubika serikali yake mbali ya ukweli aliunda serikali kubwa ambayo ni mzigo mkubwa kwa walipa kodi...........................
JK na serikali yake ilijibu ya kuwa walikuwa wanajenga nyumba kwa kila waziri nyumba ambazo zilikadiriwa kuligharimu Taifa Tshs 85 Milioni kwa kila nyumba..................Kisichoeleweka ni kwa sababu zipi mawaziri hao hawahamii kwenye nyumba hizo za serikali au ukubwa wa baraza la mawaziri una sababisha ziwe nyumba haba?