Mamilioni yatumika kuwalipia mawaziri mahotelini.................

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,172
Gazeti la Nipashe la leo linatutaaarifu ya kuwa mamilioni ya fedha yanaendelea kuteketezwa kuwalipia mawaziri ambao wapo mahotelini...................................

Hili siyo jipya kwa JK kwani alipoingia madarakani mwaka 2005 kashfa hii ndiyo ilikuwa ya kwanza kuighubika serikali yake mbali ya ukweli aliunda serikali kubwa ambayo ni mzigo mkubwa kwa walipa kodi...........................

JK na serikali yake ilijibu ya kuwa walikuwa wanajenga nyumba kwa kila waziri nyumba ambazo zilikadiriwa kuligharimu Taifa Tshs 85 Milioni kwa kila nyumba..................Kisichoeleweka ni kwa sababu zipi mawaziri hao hawahamii kwenye nyumba hizo za serikali au ukubwa wa baraza la mawaziri una sababisha ziwe nyumba haba?
 
huu wimbo 2meuchoka,namna hii hayo matumiz ya serikali yataisha?mmoja najua analala newafrika
 
Ulimbukeni tu kuwa waziri ndo ulale nu africa yaani viongozi wa Bongo kazi kweli! Lakini sishangai siku 1 nikiwa dodoma wazri 1 asb aliitisha soseji 12 kwa ulimbuke matokeo yake aliishia kula 4 tu so nane zote zikawa ni waste!! ULIMBUKENI TU NDO UNAZINGUA!
 
Kuna haja ya kufanya hesabu ya fedha yote ambayo serikali imekwishalipa kama gharama ya kuwaweka watumishi wake hotelini, tangu ichukuliwe hii hatua ya wendawazimu na bill hiyo apelekewe Mkapa. Naambiwa katika kipindi chote cha uspika wake Sitta alikuwa anaishi kwenye nyumba ya kupanga ambayo ilikuwa inalipiwa na serikali dola 7,ooo kwa mwezt. Sijui kama huyu aliopo bado anaendeleza mtindo ule ule?
 
Kuna haja ya kufanya hesabu ya fedha yote ambayo serikali imekwishalipa kama gharama ya kuwaweka watumishi wake hotelini, tangu ichukuliwe hii hatua ya wendawazimu na bill hiyo apelekewe Mkapa. Naambiwa katika kipindi chote cha uspika wake Sitta alikuwa anaishi kwenye nyumba ya kupanga ambayo ilikuwa inalipiwa na serikali dola 7,ooo kwa mwezt. Sijui kama huyu aliopo bado anaendeleza mtindo ule ule?

Hapo kwenye nyekundu ni kwamba Nyumaba aliokua anakaa ilikua inalipiwa dola 10,000 (elfu kumi) kwa mwezi...!

Pia wanaoishi mahotelini sio mawaziri tu, kuna majaji pia...! Majaji wengi kwa sasa wanaishi mahotelini kwa sababu serikali haijawapa nyumba...! Nenda pale court yard utakutana nao wengi tu...!
 
JK hana mapenzi mema na hii nchi, nashangaa hata wale waliorudi kwenye serikali yake nao wapo haotelini
 
Back
Top Bottom