Hawa nao! Wanatoka CCM B na kuhamia CCM C, bado wako mmo kwa mmo!!!.
Pole sana kwa kutumia jina la Yesu kuwaita wenzio wafu, angalau ungelinganisha avatar yako na kauli zako.Yesu alisema acha wafu wazikane. Nccr na cuf wote ni wafu tuuu. Nccr ilikuwa mkoa mmoja tu wa kigoma sasa tangu katibu mkuu ruhuza ashushwe jukwaani akihutubia kasulu mjini jimbo la mh machali mpaka leo mbatia hataki kwenda. Anaogopa yasimkute yaliyomfika katibu mkuu wake. Sasa huko mtwara kuna nccr ya mbatia kweli? Au masalia ya mrema? Kazi kwelikweli.
Kuondoka (kuondolewa) kwako NCCR ndio kunakufanya udai kwamba chama kimekufa, huna jingineWarid huo ndio ukweli kuwa cuf inakufa lakini nccr ilikufa. Kama wanapigwa na kuzomewa na kushushwa jukwwani kwenye jimbo la mh machali wanapataje mamia huku mtwara ambako hawaongozi hata kitongoji? Mmekuja kufanya manunuzi kuliko hata sisiemu. Kweli hii nccr manunuzi. Sasa hao mliowanunua leo hawana mpango na chama chenu mmemdanganya nani? Wanaotaka kuhama cuf sereous wanasubiri ziara za cdm. Wajiunge na chama cha wanaume. Sio hizo nyumba ndogo za ccm.
Hawa nao! Wanatoka CCM B na kuhamia CCM C, bado wako mmo kwa mmo!!!.
|
| |
|