Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,838
- 50,542
Mbona unatumia nguvu nyingi sana kulitaja hilo jina na kulirudia rudia tena na tena? Wataalamu bila shaka watagundua kuwa una gonjwa kubwa linakusumbua linaitwa Lowassaphobia!! Watu waoga hupiga kelele au kuongea wenyewe kama njia ya kujitoa hofu wanapokuwa kwenye maeneo ambayo wanayaogopa au mbele ya mtu wanayemhofia.Zungusha mikono hewani.......luwasaaaaaaaa
Mkuu malizia MIKONO SALAMAHongereni makamanda sasa mandeleo ya kinondoni na ilala yataonekana baada ya kuwa kwenye mikono ya watu
Naona umegundua ugonjwa wakeMbona unatumia nguvu nyingi sana kulitaja hilo jina na kulirudia rudia tena na tena? Wataalamu bila shaka watagundua kuwa una gonjwa kubwa linakusumbua linaitwa Lowassaphobia!! Watu waoga hupiga kelele au kuongea wenyewe kama njia ya kujitoa hofu wanapokuwa kwenye maeneo ambayo wanayaogopa au mbele ya mtu wanayemhofia.
Mkuu hao ndio wana propaganda wa lumumbaHuna hoja bali matusi
Mkuu vbhiita ni vbhiita muraHiyo ni kweli lakini kwa vile tunajua lazima tukabiliane nalo
HahahahaAct ina mbunge mmoja kama taa ya kuwindia
Hahaaa mkuu umenifurahisha???Act ina mbunge mmoja kama taa ya kuwindia
Ungejua Pombe mwenyewe anatembelea nyota ya Lowassa???Lowassa ameua hata motto ya CHADEMA iliyokuwa inasema People's Power!
Walianza kusema, Mabadiliko Lowassa, Lowassa mabadiliko!
Kwa sasa wanatuambia tena Lowassa Power!
Wanatuambia nguvu ya Lowassa imewafanya wakachaguliwa kuwa madiwani!
Motto ya People's Power ingetuambia nguvu za wananchi zimewafanya wakachaguliwa kuwa madiwani wa tiketi ya CHADEMA/UKAWA.
Shukrani ingewaendea wananchi kwa kutumia nguvu zao kuwachagua Madiwani.
Ama kweli, Lowassa ameibadilisha kweli CHADEMA!
Mkuu si unajua ili umpate mnyama mlengwa inabidi umpige taa moja machoni?Hahaaa mkuu umenifurahisha???
Hahaha daah na madiwani 10 nchi nzima afu wanasema 2020 watakua wapinzani wakuu wa CCMAct ina mbunge mmoja kama taa ya kuwindia
HAITWI LUWASA ANAITWA LOWASSANasikia unavyompenda Luwasa upo radhi kudeki mazizi yake kwa ulimi.....
I mentioned that way for fun.....HAITWI LUWASA ANAITWA LOWASSA
IT IS CRIMINAL TO SPOIL SOMEBODY'S NAMEI mentioned that way for fun.....
Mkuu hawa jamaa wana roho ngumu kama paka na hii yoote ni kiongozi wao kuwa na tamaaa na atawaponza kama kibweteleHahaha daah na madiwani 10 nchi nzima afu wanasema 2020 watakua wapinzani wakuu wa CCM
Huyo kwa kuwa ni mfuasi wa kiongozi mkuu ameamua kujitoa ufahamu baada ya kuona kila wanalo fanya linakuwa ni bure,walikuwa wanajipa moyo eti kwa kuwa tumesimamisha wagombea ubunge nchi mzima kama ccm basi na wao wange kuwa na wabunge wengi kama ccm,duu unajuwa kilicho wapata?IT IS CRIMINAL TO SPOIL SOMEBODY'S NAME