Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,520
- 8,270
Wakuu lawama zote namtupia mwekezaji wa simba bwana moo kwakuamua kuichukua simba na kuitengeneza kuwa tishio hapa afrika na duniani kwa ujumla, hii yote imepelekea simba iogopeke hasa inapo kipiga kwenye uwanja wa mkapa, sio timu za afrika tu zimeonja joto ya jiwe kwa mkapa, pia timu za ulaya kama sevilla walitota pale lupaso hivyo ni haki ya mautopolo yote kushangilia na kufurahia fainali ya mkondo wa pili kupelekwa zenji maana yanaelewa mnyama akicheza lupaso nini kitatokeo‘ mooo nakulaumu sana.