Mambo yashaanza kunoga NACTE!

Mambo yashaanza kunoga NACTE!

na mimi nina case hii hii wanadai nina supp. nimeingia leo dar usiku for this issue. hawa watu wanaweza kukosesha chuo na mipango yako ikaharibika. laiti ningejua mapema kabla hawaja select watu ningewahi kuja. now profile yangu vyuo vi 4 capacity 0 kimoja capacity 37 walio apply as first choice hadi sasa ni watu 37 afu mi nilikiweka second choice. yani nshachanganyikiwa nimechoka yani alhamis napaona mbali kama kesho sijaenda kulinda na mlinzi wa getini kwao sijui

Mimi nimeenda, wamesema hakuna tatizo. Ila still inasoma update / remove
Na haijabadilika
 
Back
Top Bottom