Mambo yashaanza kunoga NACTE!

Mambo yashaanza kunoga NACTE!

yani ww taarifa zako hazikuwa katika database hadi tyme hiyo unatakiwa uwekewe n/a
sasa wanachukua muda gani kuziweka kwenye data base yao ndugu. mi nishaanza kuingia wasiwasi wenzangu tuliomaliza nao chuo tume apply kwa the same process wamekuwa selected kwenye chuo hicho hicho tulichotoka mimi still pending. ila capacity zinasoma 0 isipokuwa za hicho chuo tulichotoka kina nafasi baadhi.
Wale wenzangu nilidhani sababu iliyopelekea kuchaguliwa pale ni kwasababu kile chuo kilikuwa first choice katika selection zao mi nilikiweka kuwa second choice. inachanganya sana ningekuwa Dar ningeenda Nacte sababu watu wengi wanadai kuwa profile inatakiwa kuwa N/A pote. yangu bado ipo kama huyo ndugu inanipa hofu sana
 

Attachments

  • 1444581490108.jpg
    1444581490108.jpg
    36.1 KB · Views: 367
Mie wamenipeleka SENGEREMA SCHOOL OF NURSING japo cjapenda Kupelekwa Sengerema ila ninamshukuru M/MUNGU japo JOIN INSTRUCTION bado cjaipata
 
Nashukuru xana kwa kunijuza now nmekuta N/A
ndugu ulifatilia ofisi za Nacte au wao wenyewe ndo wamerekebisha? maake na mimi profile yangu ipo kama ilivyokuwa yako. naomba unifahamishe kama nikufatilia ofisini kwao nimuagize mtu
 
Update hiyo attached inyo onyesha update
Nimei update imebaki hivyo hivyo hiyo N/A still missing kwa namna tulivyo apply tuliomaliza chuo chetu hatuna option ya kuweka trascript. matokeo yetu yalitumwa Nacte moja kwa moja so kwenye qualification za diploma ukiweka jina la chuo ulichomalizia wanaomba mwaka uliomaliza then kozi afu registration number basi.
Nafikiri ni suala la muda probably mambo yao yako slow, wenzangu walio tulio apply nao wameshakuwa selected wanasubiria approval tu, sema nili guess sababu walikiweka chuo tulichomalizia as a first choice mi nilikiweka cha pili, let me wait though kichwa kinakuwa kwenye tension sana na hivi nipo mbali na Dar ndo kabisaaaa
 
Mimi nimeupdate lakini hakuna kilichobadilika. Tatizo ni nini?
the same to me. najua chuo tutaenda ila wengine tutafika kilo zimepungua sana kama si kuchoka haswaaa this people need to change waige wenzao wa TCU i hope majority wanajua selection zao na hata kama hujapata then u know third round ipo ila huku kwetu hatujui lolote na mbaya zaidi siku zinaenda. kama hawa watachewa probably wata waathiri hata bodi ya mikopo
 
Jaman wadau anae kifahamu chuo cha lugalo military medical school.....msaada plz
 
Dah mm niliupdate jmos nashukuru leo j3 nimeingia kwenye profile yangu nikakuta NA .....
 
NA kwenye action mean no action need it totally complete
 
Dah mm niliupdate jmos nashukuru leo j3 nimeingia kwenye profile yangu nikakuta NA .....
Mimi Nili update Jana Leo asubuhi nikaikuta hiyo NA nika log out baada ya dakika kama 10 nika log in tena sikuikuta tens NA nikaikuta kama mwanzo updates/ remove qualification hawa watu wananinyima raha hata mood ya kufanya shughuli zangu ina kata kabisa
 
Back
Top Bottom