Mambo yanayosababisha wanaume waliooa kucheat

Mambo yanayosababisha wanaume waliooa kucheat

mhogoz

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,347
Reaction score
2,229
1.Kunyimwa tendo la ndoa.
2.Kauli mbaya kutoka kwa mke ,
3.Dharau kutoka kwa mke ;
4.Mwanamke kushindwa majukumu yake ya msingi usafi.
4.Matumizi mabovu ya fedha na rasilimali nyingine.
5.Mwanamke kuwa mchafu.
6.Mwanamke kuwa na bond kubwa na familia aliyotoka.
7.Mwanamke kukosa maono na mipango ya muda mrefu
 
 
CCM itaendelea kutawala Kwenye nchi ya vijana na ngono n mate na ulimii😁😁
 
Wakati mwingine, burudani tu inatakiwa.
Mke hawezi kunyonya pipe, kukaa mikao yenye kutia hamasa, K-kupigwa iriki, kufinyiwa Kwa ndani, nk.

safarini Khost-Afghanistan.
 
Hizo n robo ya sababu za kuchepuka.
Kubwa ni test ya kila shape yan urafi wa mbunye.
 
1.Kunyimwa tendo la ndoa.
2.Kauli mbaya kutoka kwa mke ,
3.Dharau kutoka kwa mke ;
4.Mwanamke kushindwa majukumu yake ya msingi usafi.
4.Matumizi mabovu ya fedha na rasilimali nyingine.
5.Mwanamke kuwa mchafu.
6.Mwanamke kuwa na bond kubwa na familia aliyotoka.
7.Mwanamke kukosa maono na mipango ya muda mrefu
Umesahau na umbali ( distance )
 
Back
Top Bottom