Mambo yanayoharibu ubora wa Sperm

Mambo yanayoharibu ubora wa Sperm

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
KWA WANANDOA PEKEE | NA WANAOTARAJIA WATOTO

Ukiachana na Zile Sarakasi | Mibinjuko ya 6 kwa 6 na Vilio vya Mahaba kutoka kwa Ma Mtu

Kikubwa Zaidi KinachoFanya Mwanamke Apate Ujauzito au Mimba ni BAO | SHAHAWA | MSHINDO

Mimba hutokea pale shahawa (mbegu za mwanaume) zenye ubora zinapokutana na yai la mwanamke na kulirutubisha.

Sasa, hizi ndizo SIFA MUHIMU za SHAHAWA | MBEGU za mwanaume zinazoweza kumpa mwanamke mimba

1. ZIWEPO KWA WINGI WA KUTOSHA (Sperm Count)
• Shahawa lazima ziwe nyingi vya kutosha
• Kisayansi inasemekana Kila Mshindo wa Mbegu unatakiwa Ujazo wa Kijiko kimoja au Viwili vya chakula
• Mbegu Zikiwa Chache sana → nafasi ya mimba hupungua

2. ZIWE NA MWENDO MZURI (Sperm Motility)
• Shahawa lazima ziwe zinatembea kwa kasi na mwelekeo sahihi
• Yaani Hapa Tunamaanisha lazima shahawa zako ziwe na kasi zinapotoka kwenye Uume wako ili ziweze Kufika kwenye mirija ya uzazi (Fallopian tubes)
Shahawa zisizotembea = hazifiki kwenye yai​

3. UMBILE SAHIHI (Sperm Morphology)
• Shahawa bora huwa na:
Kichwa kizuri (cha kupenya yai)
Mkia imara (wa kuogelea)
• Shahawa zenye maumbo mabaya:
Haziwezi kupenya yai
Au hufa njiani

4. SHAHAWA ZIWE HAI (Sperm Viability)
• Shahawa lazima ziwe hai
Shahawa zilizokufa haziwezi:
Kuogelea na Kurutubisha yai
👉 Mwanaume anaweza kutoa shahawa nyingi, lakini kama zimekufa → hakuna mimba

5. MAZINGIRA YA SHAHAWA YAWE SAHIHI (pH & Semen Quality)
• Shahawa bora huwa:
Sio nzito sana wala nyepesi sana
Ina pH ya alkaline (kulinda sperm dhidi ya asidi ya uke)
• Shahawa nzito kupita kiasi → sperm zinashindwa kusogea kwa urahisi na Zikiwa nyepesi sana zinakuwa hazina Virutubisho muhimu

6. ZIWE ZINADUMU MUDA MREFU MWILINI
• Shahawa bora zinaweza kuishi:
Siku 3–5 ndani ya mwili wa mwanamke
• Ndiyo maana hata tendo kabla ya ovulation linaweza kusababisha mimba
 
KWA WANANDOA PEKEE | NA WANAOTARAJIA WATOTO

Ukiachana na Zile Sarakasi | Mibinjuko ya 6 kwa 6 na Vilio vya Mahaba kutoka kwa Ma Mtu

Kikubwa Zaidi KinachoFanya Mwanamke Apate Ujauzito au Mimba ni BAO | SHAHAWA | MSHINDO

Mimba hutokea pale shahawa (mbegu za mwanaume) zenye ubora zinapokutana na yai la mwanamke na kulirutubisha.

Sasa, hizi ndizo SIFA MUHIMU za SHAHAWA | MBEGU za mwanaume zinazoweza kumpa mwanamke mimba

1. ZIWEPO KWA WINGI WA KUTOSHA (Sperm Count)
• Shahawa lazima ziwe nyingi vya kutosha
• Kisayansi inasemekana Kila Mshindo wa Mbegu unatakiwa Ujazo wa Kijiko kimoja au Viwili vya chakula
• Mbegu Zikiwa Chache sana → nafasi ya mimba hupungua

2. ZIWE NA MWENDO MZURI (Sperm Motility)
• Shahawa lazima ziwe zinatembea kwa kasi na mwelekeo sahihi
• Yaani Hapa Tunamaanisha lazima shahawa zako ziwe na kasi zinapotoka kwenye Uume wako ili ziweze Kufika kwenye mirija ya uzazi

MAMBO YANAYOHARIBU UBORA WA SHAHAWA

1. Punyeto | Kujichua
2. Pombe & sigara
3. Msongo wa mawazo
4. Maambukizi ya njia ya uzazi
5. Joto kali kwenye korodani (kubana sana, laptop mapajani)
Lishe duni


.NTAKUJA JION ZAIDI TUENDELÈE...

Wachache Sana Wataelewa Nilichoandika Hapo, Ni Elimu inayotolewa Hospitali Pekee Ukienda Kufanyiwa Vipimo vya Shahawa | Sperm Count kama Una changamoto ya Kutopata Mtoto
 
Back
Top Bottom