Mhe. Rungu naungana kabisa na tasia I na Shakazulu. Unafikiri kama lingekuwa timbwili kweli hiyo kanga au hiyo bukta ingekaa mahali pake kama hivyo? Yaani hata miguu yao ni misafi kabisa. Kweli hawa wanajifurahisha tu.
Ni michezo baada ya shibe, kawaida wa dada hupenda kukamata "vitendea kazi" vya wanaume kwenye matimbwili. Na ukiangalia mikono ya mdada imeshika kiuno cha jamaa .........., badala ya ku-mtait hapo "ikulu"
Babu aliwazuia wasipigane lakini wao wakabisha. Sasa akasema kwa kuwa hamkunisikiliza nyie piganeni na atakayeshindwa atatia adabu. Ndo maana unamwona babu hana time nao kabisa.