Mambo ya umaarufu

Kabakabana

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
5,550
Reaction score
1,166
Ndo itakuwa signature yangu kuanzia sasa mpaka hapo nitakapopata nyingine.Nimekaa chini nikaiwaza sana, ukiiangalia kwa macho ya pikipiki hautaielewa lakini imebeba ujumbe mkubwa sana! Lovely weekend to all
 
Haionekani!
Ukitumia simu signature haionekani...Kimbia Cafe hapo Nanihii-Complex!
 
Siioni tena,sijui imepotelea wapi ngoja niisake!
 
Ndo itakuwa signature yangu kuanzia sasa mpaka hapo nitakapopata nyingine.Nimekaa chini nikaiwaza sana, ukiiangalia kwa macho ya pikipiki hautaielewa lakini imebeba ujumbe mkubwa sana! Lovely weekend to all
Heri ya mwaka mpya mpnz,
Huishi vituko ww,
Hope ushapona na hiyo avatara yako mmmmh!
huwa inanikumbusha mdogo wangu wa kiume alipokuwa katdogo alikuwa mda wote katumbukiza mkono humo lol!
Wiki end njema.
 
Heri ya mwaka mpya mpnz,
Huishi vituko ww,
Hope ushapona na hiyo avatara yako mmmmh!
huwa inanikumbusha mdogo wangu wa kiume alipokuwa katdogo alikuwa mda wote katumbukiza mkono humo lol!
Wiki end njema.

nimeshapona kipenzi na niko fiti kweli sasa.lol nilikuwa natama niitoe avatar hii basi siitoi tena
 
nimeshapona kipenzi na niko fiti kweli sasa.lol nilikuwa natama niitoe avatar hii basi siitoi tena
Nafurahi kusikia uko fiti as usual,
Usiitoe bwana, kwan kila nikiionaga najikuta natabasamu lol!
 
Unaendeleaje na umaarufu wa hyo signature yako? Imeanza kuonekana tayari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…