kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,126
- 24,422
Watanzania wamebadilisha upepo sahivi sisikii tena ule ujinga wa Simba na Yanga upo lakini mchache sana.
Alikua ananunuaga magoli ili tuendelee kuwa busy ili aendelee kutuibia wananchi wameshtukia.
Sahivi sioni zile mbwembwe za kupost hayo makitu, sahivi hata trending za mastaa hatuzioni tena
Yaani mpaka najiuliza au wasanii wetu after October 29 hawatumiii tena Simu au wamezificha wapi maana hawavumi tena.
This is Clear message to you Samia Suluhu your time is Coming you will pay a heavy price. Ulionywa hukusikia, hadi rais anafungia comments aisee hali ni ngumu ndugu zangu!!.
Media nyingi zinaenda kufa Tanzania kwa kupoteza mvuto na hamasa na watazamaji.Wanavuna walichopanda.
Alikua ananunuaga magoli ili tuendelee kuwa busy ili aendelee kutuibia wananchi wameshtukia.
Sahivi sioni zile mbwembwe za kupost hayo makitu, sahivi hata trending za mastaa hatuzioni tena
Yaani mpaka najiuliza au wasanii wetu after October 29 hawatumiii tena Simu au wamezificha wapi maana hawavumi tena.
This is Clear message to you Samia Suluhu your time is Coming you will pay a heavy price. Ulionywa hukusikia, hadi rais anafungia comments aisee hali ni ngumu ndugu zangu!!.
Media nyingi zinaenda kufa Tanzania kwa kupoteza mvuto na hamasa na watazamaji.Wanavuna walichopanda.