Mambo ya nyuma

Mambo ya nyuma

Bwisso

Member
Joined
Jan 17, 2012
Posts
28
Reaction score
15
Jamani "NYUMA" raha ! asikwambie mtu. "NYUMA" rahaaa wacha nipasifie, nisipo pasifia atapasifia nani tena mwenye kuujua vizuri utamu wa "NYUMA" ?. Hebu fikiria Soda ilikuwa Tsh 250, Sukari robo Tsh 150, Mafuta ya kula robo Tsh 100, Mafuta ya taa LT Tsh 500, Sabuni ya kipande Tsh 30, Unga kilo Tsh 200. Dah ! Kweli Nyuma tulifaidi au we unaonajee ?
 
Jamani "NYUMA" raha ! asikwambie mtu. "NYUMA" rahaaa wacha nipasifie, nisipo pasifia atapasifia nani tena mwenye kuujua vizuri utamu wa "NYUMA" ?. Hebu fikiria Soda ilikuwa Tsh 250, Sukari robo Tsh 150, Mafuta ya kula robo Tsh 100, Mafuta ya taa LT Tsh 500, Sabuni ya kipande Tsh 30, Unga kilo Tsh 200. Dah ! Kweli Nyuma tulifaidi au we unaonajee ?

Mie nilijua mwenzetu unagawa nyuma ili niwe wakwanza kuchangamkia mzigo.
 
Jamani "NYUMA" raha ! asikwambie mtu. "NYUMA" rahaaa wacha nipasifie, nisipo pasifia atapasifia nani tena mwenye kuujua vizuri utamu wa "NYUMA" ?. Hebu fikiria Soda ilikuwa Tsh 250, Sukari robo Tsh 150, Mafuta ya kula robo Tsh 100, Mafuta ya taa LT Tsh 500, Sabuni ya kipande Tsh 30, Unga kilo Tsh 200. Dah ! Kweli Nyuma tulifaidi au we unaonajee ?
umetisha kaka
 
Back
Top Bottom