Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 17,306
- 19,877
- Thread starter
-
- #241
Daaaah, umetiririka sana Mzee baba..Usimpe nafasi ya ghetto kumpa copy ya Ufunguo demu ambae hujamjua vizuri, au humpendi au huna malengo nae
Epuka majungu never judge people whom you don't know, apply natural justice always.
Never judge people with their situations in the future by benchmarking them with their past, life is always dynamic so as people are similarly dynamic. Find out their transformations.
Maisha ni watu salimia watu I doesn't cost anything
Note: Mwanamke sio kiumbe wa kugombaniwa na kamwe usigombane na mwanaume awaye yeyote kwa sababu ya Mwanamke.
Samehe ugomvi wowote uluosababishwa na mwanamke.
Usimpe nafasi yoyote mwadamu yeyote kumwambia ukweli wako wote, 30% ukweli 70 uongo hasa kuhusu maendeleo yako ya kimaisha.
Epuka sifa kuhusu pesa na ngono vinakawaida ya kurudi reverse inayoumiza
Huyu anaweza kuwapa funguo vibaka au yeye mwenyewe akakunyoosha akasafisha kila kitu cha ndani mwako kisha akasepa..Usimpe nafasi ya ghetto kumpa copy ya Ufunguo demu ambae hujamjua vizuri, au humpendi au huna malengo nae
Kwa hapa ni rahisi mtu kupewa kesi ya defamation kisha akalipa fidia kubwa sana ya fedha..Usiongee jambo lolote bila kuwa na uhakika nalo.
Hahahaaa, sawa mkuu..jitahidi kutovuta bhangi ama kunywa pombe ikiwa ujala ama umekula dagaa
Ukienda kwa mtu, usiweke miguu juu kochi au meza(1) Ukipiga mihayo (yawning), chafya au kukohoa, funika mdomo na pua kwa mikono yote miwili.
(2) Usiteme mate, kutapika, kupenga kamasi, wenzako wakiwa wanakula.
(3) Ukienda nyumbani kwa mtu, hususan rafiki, usitangaze madhaifu utakayoyaona. Mfano: Watoto wao wanashindia nguo zilizochanika.
(4) Rafiki yako unayeheshimiana naye, usiwe na namba ya simu ya mkewe ili kuepuka kutembea naye.
(5) Ukiacha kazi ofisini, usiwatukane former employers wako kwa maana katika maisha kuna leo na kesho.
(6) Ni vema ukapakua chakula kidogo kisha ukaongeza kuliko kupakua kingi alafu ukashindwa kukimaliza.
(7) Ukienda kwenye sherehe, hata kama wewe ni ndugu za karibu, usikae sehemu za VIP bila kukaribishwa. Ni aibu sana kuambiwa uondoke kwenye seat za VIP uende kwa wageni wa kawaida.
(8) Ukigundua spouse wa rafiki yako ana uhusiano wa nje ya ndoa, mfuate na mkanye ila usimwambie mumewe/mkewe.
(9) Mtu akikusaidia mara moja, usimgeuzi kitega uchumi cha kumuomba mara kwa mara. Kumbuka yeye pia ana majukumu yake binafsi.
(10) Ukiongea kwenye simu na mtu wa mbali sio vizuri kusema "fulani (Alex) nipo naye hapa ongea naye pia. Kama huyo Alex hajakuomba kuongea na mhusika basi kaa kimya.
(11) Ukipata mshahara mwisho wa mwezi, wape kidogo mfanya usafi pamoja na mpika chai hapo ofisini kwenu. Hao ndio informers na wanajua mengi ya hapo ofisini kwenu.
(12) Usiache kwenda likizo ya mapumziko kwa kuambiwa eti "tutakufidia kwa fedha hizo siku 28 za mapumziko". Afya yako ya akili ni kitu cha msingi sana.
(13) Ukienda ugenini kisha ukaachwa peke yako sebuleni, usishike chochote kama mwenyeji wako hayupo (ameenda kunununulia soda kwa mfano). Hata kama ni gazeti umelikuta hapo, subiri akirudi ndio umuombe.
ONGEZEA NA WEWE NDUGU YANGU......
Hii ya pili inanihusu, nikiona wenzangu wanakula chakula kizuri na hawanikaribishi basi natema mate na kukohoa mbele yao ili wasuse chaula, tukose wote.(1) Ukipiga mihayo (yawning), chafya au kukohoa, funika mdomo na pua kwa mikono yote miwili.
(2) Usiteme mate, kutapika, kupenga kamasi, wenzako wakiwa wanakula.
(3) Ukienda nyumbani kwa mtu, hususan rafiki, usitangaze madhaifu utakayoyaona. Mfano: Watoto wao wanashindia nguo zilizochanika.
(4) Rafiki yako unayeheshimiana naye, usiwe na namba ya simu ya mkewe ili kuepuka kutembea naye.
(5) Ukiacha kazi ofisini, usiwatukane former employers wako kwa maana katika maisha kuna leo na kesho.
(6) Ni vema ukapakua chakula kidogo kisha ukaongeza kuliko kupakua kingi alafu ukashindwa kukimaliza.
(7) Ukienda kwenye sherehe, hata kama wewe ni ndugu za karibu, usikae sehemu za VIP bila kukaribishwa. Ni aibu sana kuambiwa uondoke kwenye seat za VIP uende kwa wageni wa kawaida.
(8) Ukigundua spouse wa rafiki yako ana uhusiano wa nje ya ndoa, mfuate na mkanye ila usimwambie mumewe/mkewe.
(9) Mtu akikusaidia mara moja, usimgeuzi kitega uchumi cha kumuomba mara kwa mara. Kumbuka yeye pia ana majukumu yake binafsi.
(10) Ukiongea kwenye simu na mtu wa mbali sio vizuri kusema "fulani (Alex) nipo naye hapa ongea naye pia. Kama huyo Alex hajakuomba kuongea na mhusika basi kaa kimya.
(11) Ukipata mshahara mwisho wa mwezi, wape kidogo mfanya usafi pamoja na mpika chai hapo ofisini kwenu. Hao ndio informers na wanajua mengi ya hapo ofisini kwenu.
(12) Usiache kwenda likizo ya mapumziko kwa kuambiwa eti "tutakufidia kwa fedha hizo siku 28 za mapumziko". Afya yako ya akili ni kitu cha msingi sana.
(13) Ukienda ugenini kisha ukaachwa peke yako sebuleni, usishike chochote kama mwenyeji wako hayupo (ameenda kunununulia soda kwa mfano). Hata kama ni gazeti umelikuta hapo, subiri akirudi ndio umuombe.
ONGEZEA NA WEWE NDUGU YANGU......
Absolutely...Meaning: Persistence will achieve a difficult or unlikely objective.
HakikaUkienda kwa mtu, usiweke miguu juu kochi au meza
Totally uncivilizedHii ya pili inanihusu, nikiona wenzangu wanakula chakula kizuri na hawanikaribishi basi natema mate na kukohoa mbele yao ili wasuse chaula, tukose wote.
Poa mkuu..Absolutely...
Thank youUzi bora sana!
Marijuana (weed/cannabis) shouldn't be smoked at all, let alone when someone is hungry. Possessing such a narcotic is also a crime.jitahidi kutovuta bhangi ama kunywa pombe ikiwa ujala ama umekula dagaa
Chunga sabuni zisije zikaanza kununuliwa kwa fujo ππ π€£Sijahalalisha mkuu, but that's the sad reality of juvenile life.
Hahahahaaa poa mkuuChunga sabuni zisije zikaanza kununuliwa kwa fujo ππ π€£
Nimeipenda sana hii mkuu..Jitaidi ukiwa unakula au unatafuna kitu mdomoni ufunge mdomo ili kuzuia sauti ya kukera kwa wengine unaokula nao utafunapo huku unafungua mdomo.