Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,479
inaonyesha unao uzoefu sana, na kwamba mtu akitumia condom hataona utamu....hahaha, ehee tupe uzoefu wako zaidi manake sisi wengine hatujawahi kuchomeka kwenye tope. lete vitu mamaaa, ule mchezo haviendani na ndomu eehee manake umeongea toka bottom of your heart kabisa.Wana magonjwa hatari, wamejitolea kufa, coz ule mchezo na condom ni vitu viwili tofauti