Zabibu
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 256
- 54
Wakati watu wakigombania kupanda kwenye daladala la mbagala kama kawaida yao,bibi mmoja alipanda bila shida akapata siti.
Baada ya muda konda akamuuliza "bibi unalia nini?" bibi akajibu "miaka yote 25 niliyoishi mbagala sijawahi kupata siti kwenye daladala".konda akadakia "tena bibi pisha hapo umekaa siti ya dereva".
Baada ya muda konda akamuuliza "bibi unalia nini?" bibi akajibu "miaka yote 25 niliyoishi mbagala sijawahi kupata siti kwenye daladala".konda akadakia "tena bibi pisha hapo umekaa siti ya dereva".