Mambo ya kuzingatia kwenye hizi ajira

EveningStar

JF-Expert Member
Nov 14, 2018
262
162
Habari wakuu,

Mimi ni mtafuta ajira kwa muda mrefu sana na hatimaye MUNGU kanijalia nimefanikiwa kupata kazi hivi karibuni serikalini kwenye taasisi iliyo chini ya wizara ya afya kupitia utumishi. Kwahiyo naombeni kuuliza kwa wazoefu wa ajira je, ni mambo gani ya kuzingatia ukiwa katika hizi taasis?
 
Habari wakuu,

Mimi ni mtafuta ajira kwa muda mrefu sana na hatimaye MUNGU kanijalia nimefanikiwa kupata kazi hivi karibuni serikalini kwenye taasisi iliyo chini ya wizara ya afya kupitia utumishi. Kwahiyo naombeni kuuliza kwa wazoefu wa ajira je, ni mambo gani ya kuzingatia ukiwa katika hizi taasis?
kwanza kwa kweli nikupe pongezi na hongera nyingo,hatimaye Mungu kasikia kilio chako,kulala ukumbini kwa watu sio mchezo,kwa upande wangu ni pongezi tu hayo mengine tusubiri wadau
 
Umepata ajira hujui nini cha kuzingatia kwenye ajira? Basi haukua tayari kuajiriwa. Soma job description yako itakueleza nini unachotakiwa kufanya
Habari wakuu,

Mimi ni mtafuta ajira kwa muda mrefu sana na hatimaye MUNGU kanijalia nimefanikiwa kupata kazi hivi karibuni serikalini kwenye taasisi iliyo chini ya wizara ya afya kupitia utumishi. Kwahiyo naombeni kuuliza kwa wazoefu wa ajira je, ni mambo gani ya kuzingatia ukiwa katika hizi taasis?
 
kwanza kwa kweli nikupe pongezi na hongera nyingo,hatimaye Mungu kasikia kilio chako,kulala ukumbini kwa watu sio mchezo,kwa upande wangu ni pongezi tu hayo mengine tusubiri wadau
Ahsante sana kwa pongezi mkuu
 
Habari wakuu,

Mimi ni mtafuta ajira kwa muda mrefu sana na hatimaye MUNGU kanijalia nimefanikiwa kupata kazi hivi karibuni serikalini kwenye taasisi iliyo chini ya wizara ya afya kupitia utumishi. Kwahiyo naombeni kuuliza kwa wazoefu wa ajira je, ni mambo gani ya kuzingatia ukiwa katika hizi taasis?
ungetaja jina la hiyo taasisi ingependeza sana. ili tukupe changamoto na mazuri yake .
 
Hongera kwa kupata kazi Poti...

Ulisota sana kitaani since 2015 ila leo Mungu kakufungulia Njia...
 
Ajira ni darasa jipya katika mfumo wa vitendo, kuwa na tabia njema, jitahidi kadri uwezavyo kutunza sana muda, kuwa na malengo, fata sheria, taratibu na miongozo, heshimu wakubwa kwa wadogo, nafasi uliyonayo ilikuwa na watu, wamepita, kumbuka kuwa hata wewe ipo siku hautakuwepo hapo, acha alama na kumbukumbu njema kuhusu wewe, wape watu furaha nawe hakikisha unafurahi kwa kuwa hapo kazini, ipende kazi yako na uifanye kwa ufanisi.

La kuzingatia zaidi, ajira ni utumwa na hautokaa utimize malengo yako kwa kupitia ajira, jitahidi kadri uwezavyo utengeneze vyanzo vya ziada vya kipato.

Ukiweza fanya ajira yako kuwa ni sadaka kwa kuwafanya wanaokuzunguka kama wazazi, ndugu na jamaa wafurahi kwa kuwa kwako na ajira.

Akili za kuambiwa, changanya na za kwako
 
Ajira ni darasa jipya katika mfumo wa vitendo, kuwa na tabia njema, jitahidi kadri uwezavyo kutunza sana muda, kuwa na malengo, fata sheria, taratibu na miongozo, heshimu wakubwa kwa wadogo, nafasi uliyonayo ilikuwa na watu, wamepita, kumbuka kuwa hata wewe ipo siku hautakuwepo hapo, acha alama na kumbukumbu njema kuhusu wewe, wape watu furaha nawe hakikisha unafurahi kwa kuwa hapo kazini, ipende kazi yako na uifanye kwa ufanisi.

La kuzingatia zaidi, ajira ni utumwa na hautokaa utimize malengo yako kwa kupitia ajira, jitahidi kadri uwezavyo utengeneze vyanzo vya ziada vya kipato.

Ukiweza fanya ajira yako kuwa ni sadaka kwa kuwafanya wanaokuzunguka kama wazazi, ndugu na jamaa wafurahi kwa kuwa kwako na ajira.

Akili za kuambiwa, changanya na za kwako
Ahsante sana mkuu kwa ushauri wako mzuri na uliojaa maneno ya busara, nitaufanyia kazi.
 
Ama kwa hakika MUNGU ni mkubwa mkuu.
Hongera sana, katika maisha nimejifunza kitu kimoja ni marufuku kukata tamaa " kuna muda mwingine Mambo yanaweza kukuendea kombo hadi ukawa unajihisi umetupiwa mkosi"

So, cha kufanya ni kupiga goti na kuendelea kupambana, sometimes hizi dhiki hutusogesha katika Neema ona sasa leo umeitwa TFDA, kwa ile nyomi mliyoingia oral sikutarajia ungetoboa kiurahisi ila Mungu ni mwema.

Chapa kazi kijana...
 
Ajira ni darasa jipya katika mfumo wa vitendo, kuwa na tabia njema, jitahidi kadri uwezavyo kutunza sana muda, kuwa na malengo, fata sheria, taratibu na miongozo, heshimu wakubwa kwa wadogo, nafasi uliyonayo ilikuwa na watu, wamepita, kumbuka kuwa hata wewe ipo siku hautakuwepo hapo, acha alama na kumbukumbu njema kuhusu wewe, wape watu furaha nawe hakikisha unafurahi kwa kuwa hapo kazini, ipende kazi yako na uifanye kwa ufanisi.

La kuzingatia zaidi, ajira ni utumwa na hautokaa utimize malengo yako kwa kupitia ajira, jitahidi kadri uwezavyo utengeneze vyanzo vya ziada vya kipato.

Ukiweza fanya ajira yako kuwa ni sadaka kwa kuwafanya wanaokuzunguka kama wazazi, ndugu na jamaa wafurahi kwa kuwa kwako na ajira.

Akili za kuambiwa, changanya na za kwako
Kijana ni Muislamu safi, sina wasiwasi nae kabisa.
 
Hongera sana, katika maisha nimejifunza kitu kimoja ni marufuku kukata tamaa " kuna muda mwingine Mambo yanaweza kukuendea kombo hadi ukawa unajihisi umetupiwa mkosi"

So, cha kufanya ni kupiga goti na kuendelea kupambana, sometimes hizi dhiki hutusogesha katika Neema ona sasa leo umeitwa TFDA, kwa ile nyomi mliyoingia oral sikutarajia ungetoboa kiurahisi ila Mungu ni mwema.

Chapa kazi kijana...
Kwakweli ni kuchapa kazi na kutimiza malengo kwa wakati, ahsante kwa ushauri mkuu.
 
Hongera sana ndugu inspector.Kazingatie maadili ya kazi na uiepuke rushwa.
 
Back
Top Bottom