Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

Son of Nun

Senior Member
Joined
May 8, 2017
Posts
179
Reaction score
78
Wasalaam wakuu,
Poleni na harakati za hapa na pale za kuikata keki ya Taifa ila nilikuwa na langu tatizo husika na kichwa cha habari hapo juu ningetamani kupata ya kiundani kuhusu swala hili.

Nawasilisha.
 
Mkuu, niliwahi sikia mbwa anakula chochote je ni kweli au la?
Na pili chanjo ipi mkuu unayoiongelea?
mbwa anayekula chochote ni mbwa koko unabidi ujipange kwa chakula unampikia chakula chake na sio kumpa mlichobakiza (makombo)

kuhusu dawa zipo chanjo kwa ma doctor mifugo kama unaona ni gharama kubwa unampeleka kwenye Yale wanayaita majosho unamuogesha uko
 
mbwa anayekula chochote ni mbwa koko unabidi ujipange kwa chakula unampikia chakula chake na sio kumpa mlichobakiza (makombo)

kuhusu dawa zipo chanjo kwa ma doctor mifugo kama unaona ni gharama kubwa unampeleka kwenye Yale wanayaita majosho unamuogesha uko
Hapo umenitoa tongotongo mkuu,
Je hauna mausia mengine katika hifadhi yako mkuu maana kwenye swala la ufugaji niko kapa mkuu.
 
usiwe unarudi nyumban saa5 usiku nakuondoka saa 11.30 asubuh
Uko sahihi mkuu,refer kilichomkuta kingunge.watu wengi wanafuga mbwa alafu wanamwacha houseboy awe master.kumbuka dog always remember its master
 
Uko sahihi mkuu,refer kilichomkuta kingunge.watu wengi wanafuga mbwa alafu wanamwacha houseboy awe master.kumbuka dog always remember its master
Hapo nimewapata mkuu ila vipi kuhusu bei ya mbwa ya kununua namaanisha?
 
kama ni ulinzi haswa tafuta kwanza aina ya Pitbull(sikumbuki kama waliisha ruhusiwa kuingia) au rottweiler
hakikisha wanakula wanashiiba nasema tena wanashiba
Vipi mkuu kuhusu German shepherd uzuri wake na bei yake?
Na hao pia uliowataja vipi bei zao?
 
Vipi mkuu kuhusu German shepherd uzuri wake na bei yake?
Na hao pia uliowataja vipi bei zao?

G.S Mzuri sana kwanzia muonekano , na kikubwa uwezo wake kiakili ni mzuri anashika vyema sana mafunzo.
Hao wengine ni wananguvu saana sanaa na ni wakali saaaana wanakuharibu hata wewe ukifanya makosa kama kutowapa chakula chakutosha, mafunzo ya maana . Kwenye swala la bei jipande mzee ili upate mbegu halisi andaa kwanzia laki 3.5
 
G.S Mzuri sana kwanzia muonekano , na kikubwa uwezo wake kiakili ni mzuri anashika vyema sana mafunzo.
Hao wengine ni wananguvu saana sanaa na ni wakali saaaana wanakuharibu hata wewe ukifanya makosa kama kutowapa chakula chakutosha, mafunzo ya maana . Kwenye swala la bei jipande mzee ili upate mbegu halisi andaa kwanzia laki 3.5
Mkuu hiyo hela mbona kama mtaji ila kila nikiona picha ya Shepherd nabaki tu nawaza hivyo hamna namna ni kujitosa tu.
 
G.S Mzuri sana kwanzia muonekano , na kikubwa uwezo wake kiakili ni mzuri anashika vyema sana mafunzo.
Hao wengine ni wananguvu saana sanaa na ni wakali saaaana wanakuharibu hata wewe ukifanya makosa kama kutowapa chakula chakutosha, mafunzo ya maana . Kwenye swala la bei jipande mzee ili upate mbegu halisi andaa kwanzia laki 3.5
Mkuu akipata hao mbwa rotweiler na german shephard kwa laki 2mpaka 3,me ntaenda kuwanunua kwake kwa 3milion then nkawauze nakojua kwa bei ya kutupa 5m+
 
Mkuu akipata hao mbwa rotweiler na german shephard kwa laki 2mpaka 3,me ntaenda kuwanunua kwake kwa 3milion then nkawauze nakojua kwa bei ya kutupa 5m+
Mkuu mbona umenikoroga fafanua kidogo.
 
Back
Top Bottom