Mambo ya kuchunga ukitembea mjini usiku

Maeneo ya madada poa ni ya kukaa nayo mbali aisee,yana mambo mengi,ukitaka mzigo we nenda kwenye bar kubwa,wahudumu wote wapo sokoni,na kama hayupo sokoni anaweza kukuunganishia mtu.pia mitandaoni wapo.kikubwa mkielewana wewe ndio umpeleke chimbo,sio yeye akuongoze wewe utaumia
 
Usikariri mzee,
 
Huu uzi nimeukubali ......hata hivyo niliwahi kutoka Taifa mpaka Buguruni kuanzia mida ya saa sita usiku....mbinu nlizotumia kukwepa kunyongwa ni mwendo usiotabirika mara niende fasta mara niende slow mara nivuke barabara au nikiona machalii washanichorea draft wanikabe nahamia katikati ya barabara kwenye taaa.....Mazee nilifika Buguruni nikiwa nimekwepa majaribio kama Kumi hivi wengine waliishia kucheka tu kila nilipokuwa nawachezesha draft..
 
senge wew
 
Tujitahidi kuwa na dereva bodaboda hata watatu waaminifu na wanaojali muda na kuitikia wito haraka hii itasaidia sana, bodaboda mmoja ni kwa ajili ya huduma za nyumbani, mwingine kwenye harakati binafsi na mwingine kwenye mambo yetu
 
Tujitahidi kuwa na dereva bodaboda hata watatu waaminifu na wanaojali muda na kuitikia wito haraka hii itasaidia sana, bodaboda mmoja ni kwa ajili ya huduma za nyumbani, mwingine kwenye harakati binafsi na mwingine kwenye mambo yetu
Boda boda ndio hatari kabisa( sio wote) wakijua ratiba zako na mishe zako ndio wachora ramani na wauza ramani za matukio
 
Kwenye Kona usiku usiingie kichwa kichwa ichukulie kwa mbali tena nashauri ukiikaribia beba mawe kabisa ukisikia mtikisiko wowote vurumisha mawe tu tena huku unatoka mbio..
 
mawe
 
Sasa mkuu,kama polisi wapo chimbo wamejibana wanakusikia unavopiga huu mkwara mbuzi si itakuwa balaa?
 
Aahahahahahaa huu uzi unafanana na uzi mmoja ulikuwa unasema namna ya kufanya ukikutana na simba porini ili utoke salama.

Comments za wadau ziliniumiza mbavu aiseeh looh.
 
 
Tujitahidi kuwa na dereva bodaboda hata watatu waaminifu na wanaojali muda na kuitikia wito haraka hii itasaidia sana, bodaboda mmoja ni kwa ajili ya huduma za nyumbani, mwingine kwenye harakati binafsi na mwingine kwenye mambo yetu
Usiruhusu watu wajue ratiba yako kwa undani. Wajue utarudi nyumbani saa ngapi haiwahusu.. wewe Ndiye unayewaweka kwenye ratiba yako Sio wao. Don't just trust everybody.. it's safe that way. Na usiage age Sana.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…