sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,564
- 11,478
3) Kama mnaweza pandeni juu mwende mkazibe.
we kiumbe umeingia kwenye chatting room ambayo sio size yako...naona umejaza maneno ya kwenye taarab humu kama ya mama yako sofia simba..
3) Kama mnaweza pandeni juu mwende mkazibe.
we kiumbe umeingia kwenye chatting room ambayo sio size yako...naona umejaza maneno ya kwenye taarab humu kama ya mama yako sofia simba..
maneno ya kwenye taarabu hayo au wewe kama MBATIA mtoto si riziki ,PUNGA dot com
Nina mashaka sana ya kwamba wewe sio muadilifuMh we mzima kweli?
Halafu katika video yako unaonyesha daraja la San Francisco hivi wewe unajua mambo haya au unasikia tu? Barabara za kusini zinawashinda sembuse na hiyo teknlojia ya juu ya underground tunnel? Nakushauri utafute documentary za hizi project duniani halafu then ndo uje na hizo taarabu zako
Jioneeni wenyewe mambo ya Kikwete: YouTube - Kigamboni - New Dar City Center
1) Mtakufa navyo vijiba vya roho.
2) Mwenye wivu ajinyonge
3) Kama mnaweza pandeni juu mwende mkazibe.
Jakaya, hiyo concept tuu, inatosha. Tutakukumbuka kwa mema yako mengi unayotufanyia waTanzania na Tanzania jina lako litatajika Daima. Nna suggest hilo jiji jipya liitwe Jakaya City.