Mambo ya house girl mpya

Mambo ya house girl mpya

chakufia nini

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2015
Posts
692
Reaction score
456
11256871_753801501399596_434329573579064370_n.jpg
 
Hahahah hiyo picha ya pili kiboko
 
HahahahahaaAA kuna haja ya kuchagua angalau aliyosoma hadi drs la 7 maana ni aibu
 
HahahahahaaAA kuna haja ya kuchagua angalau aliyosoma hadi drs la 7 maana ni aibu

Sio dawa niliwahi kuwa na aliyemaliza form four lakini mambo yake yaliniacha hoi, tulikuwa na sherehe ndogo home sasa kuepusha usumbufu wa kuosha vyombo tukatumia disposable plates vijiko, nyuma na glass, sherehe ilinoga mpaka saa tano usiku hivi wageni wakatawanyika sisi tukalala
Huku nyuma mdada hakulala aliosha disposable zote kuamka asubuhi weee acha tu nilicheka mpaka nikakaa chini
 
Sio dawa niliwahi kuwa na aliyemaliza form four lakini mambo yake yaliniacha hoi, tulikuwa na sherehe ndogo home sasa kuepusha usumbufu wa kuosha vyombo tukatumia disposable plates vijiko, nyuma na glass, sherehe ilinoga mpaka saa tano usiku hivi wageni wakatawanyika sisi tukalala
Huku nyuma mdada hakulala aliosha disposable zote kuamka asubuhi weee acha tu nilicheka mpaka nikakaa chini

Hahahahahahaa hii kali kuliko!
 
Hahahah ila hajakosea. Kaambiwa amenye nusu.
Hakuambiwa achukue nusu ya viazi vilivyo kwenye mfuko, amenye na avipike
 
mm niliwahi kuwa kulita msichana aliyemaliza std 7. chumba chake kilikua muster lakini alikaa siku tatu ndo anauliza mama choo kiko wapi wakati alikua anaoga na kukojoa humohumo....
...... wasichana si mchezo.
 
Back
Top Bottom