Anyisile Obheli JF-Expert Member Joined Dec 13, 2009 Posts 3,402 Reaction score 320 Sep 27, 2011 #21 labda anaichaji umeme si wa shida?
Mchaka Mchaka JF-Expert Member Joined Jul 20, 2010 Posts 4,517 Reaction score 1,428 Sep 27, 2011 #22 Mama Mdogo said: Naomba kuelimishwa, hivi hii term Masaburi maana yake ni nini? Ni msamiati mpya? Kuuliza siyo ujinga. Click to expand... Ni sehemu ya nyuma ya mwanadamu inayotumika kukalia na ndani yake kidogo kuna tundu linalotumika kutoa waste material katika mwili wa binadamu.
Mama Mdogo said: Naomba kuelimishwa, hivi hii term Masaburi maana yake ni nini? Ni msamiati mpya? Kuuliza siyo ujinga. Click to expand... Ni sehemu ya nyuma ya mwanadamu inayotumika kukalia na ndani yake kidogo kuna tundu linalotumika kutoa waste material katika mwili wa binadamu.
RayB JF-Expert Member Joined Nov 27, 2009 Posts 2,751 Reaction score 201 Sep 27, 2011 #23 Sasa mbona laptop yenye imefungwa (funikwa)
mfianchi Platinum Member Joined Jul 1, 2009 Posts 12,186 Reaction score 8,984 Sep 27, 2011 #24 Muda si mrefu ita heat kutokana na joto la south africa(makalioni)
Sajenti JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 3,651 Reaction score 416 Sep 28, 2011 #25 Mama Mdogo said: Naomba kuelimishwa, hivi hii term Masaburi maana yake ni nini? Ni msamiati mpya? Kuuliza siyo ujinga. Click to expand... ...Neno jipya limetoholewa kama kawaida yetu waswahili...linamaanisha ******. Karibu tena
Mama Mdogo said: Naomba kuelimishwa, hivi hii term Masaburi maana yake ni nini? Ni msamiati mpya? Kuuliza siyo ujinga. Click to expand... ...Neno jipya limetoholewa kama kawaida yetu waswahili...linamaanisha ******. Karibu tena