Mambo ya Facebook yanachekesha ila full Ukweli

Mambo ya Facebook yanachekesha ila full Ukweli

Tamatheo

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2012
Posts
3,298
Reaction score
1,562
[h=5]Angalia Picha kwa tafakari,

[/h]





[h=5]Wanajamvi kuna ukweli? Embu tupeane somo hapa hasa tuwaase wadogo/Watoto wetu maana ya VALENTINE DAY. Karibuni[/h]
 
Ukweli upo tena sana tu,niaminvyo mimi wakati wa valentine wengi huuona kama wakati wa kufanya uzinzi,na ndio maana wengi hujikuta na watu kwa ajili ya tamaa na sio mapenzi ya dhati na hivyo kufikia hiyo novemba mimba zinanza kukimbiwa kwani yale mapenzi ya kumuadmire mtu ya feb14 yanakuwa yameisha kwa wakati huo.
 
Ukweli upo tena sana tu,niaminvyo mimi wakati wa valentine wengi huuona kama wakati wa kufanya uzinzi,na ndio maana wengi hujikuta na watu kwa ajili ya tamaa na sio mapenzi ya dhati na hivyo kufikia hiyo novemba mimba zinanza kukimbiwa kwani yale mapenzi ya kumuadmire mtu ya feb14 yanakuwa yameisha kwa wakati huo.

Kweli ndg, leo kuna mabinti niliwasikia wakibishana nani ameshapata wa kutoka nae na hata wanaahidiana ikishindikana watadandia kwa waliopata. Ndio maana Vyumba vya wageni vinajaa etieeeeeeeeeee
 
Angalia Picha kwa tafakari,









Wanajamvi kuna ukweli? Embu tupeane somo hapa hasa tuwaase wadogo/Watoto wetu maana ya VALENTINE DAY. Karibuni

November 14 mbali sana. Mwezi tu watosha kukimbiana.
 
Si muambiane tu kuwa issue ni kula maraha and not kubimbishana tumbo? Halafi siku hizi mambo na ndomu tu unatoka wapi kumpata one night stand bila beki?
 
When you grow up, you can have valentine anytime you want at your own convinience. Ni kama kuvaa nguo mpya siku isiyo krismas, ama kula pilau bila sikukuu. Wazee hatuelewi haya makitu, kila la kheri vijana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom