Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Haka ka story nimekaleta makusudi hapa kwa kuwa nakereka sana na kasumba ya wanawake wengi- haswa walioko bongo kutotaka kuchangia bills wanapokuwa na wanaume iwe kwenye baa au hoteli. Kuna mbunge mmoja wa kiume alisema tabia hii hata wabunge wa kike wanayo pia, wakienda mnadani kwenye bia na nyama, wanatataka wabunge wanaume ndio walipe.I can understand kama mwanamke hana, lakini most of the time hela zao ziko likizo...
Samahani kwa hili nitakalo sema nimetafuta njia nzuri zaidi ya kulisema ila hili ndio best zaidi;
Katika kutafiti kwangu nimegundua wanawake wa TZ wengi haijarishi na kipato chao wanatabia hii,sababu kubwa ikiwa.....-
Wanaume wengi Tuwavivu kwenye sita kwa sita (swala zima la kufanya mapenzi),unamwachia mwanamke ahangaike weee...!
Wewe unasubiri tu pale kileleni ukifika unaangukia pembeni haijarishi kama na yeye ameridhika au la... wewe ukifika ndio mwisho wa mchezo wenyewe.
Sasa hii ndio sababu wao wakata futa njia ya kujipa RAHA,kwanza watuchuneee....alafu tukifika kule anakuvumilia umalize uchukue time....
Mara nyingi kwenye tafiti,yangu wanaume wenye kuwalizisha wanawake wao huishia kwenye mapenzi ya ukweli(yaani muendeleze wa mahusiano hayo) ikiwa ni pamoja ku-share hizo BILLS na mamba ya ndani ya kila mmoja
kama unabisha jaribu
Sanda una hakika gani? Je una ushahidi gani? Umepata nafasi ya kufanya utafiti na kupata "first hand experience"?
Mkuu Pundit,
Jawabu ni NDIO.
Nadhani hapa sio swala la uhakika wa hilo,instead ni sisi WAOAJI (Ingawa silipendi hili neno) tu-devote muda kwenye sehemu ile na tuache kuifanya ile shuguli kama KUTENGENEZA WATOTO tu ila pia ni sehemu ya kupata RAHA na UTAMU wa maisha yenyewe.
Mwana mke mwenye kupata mwanaume anaye mlizisha,siku zote anakua tayari kwa kila kitu,Nieleweke hapa 'I mean every thing'
Lakini hii kwa muda mmrefu imeshindikana kwani Hii MALE EGO inatufanya tu-miss out kwenye maisha yenyewe.Angalia wewe na KNS mlivyo uliza kwa pamoja kama ni "kweli nina uhakika" Yes nin uhakika 101%kutokana na tafiti yangu na Swali lenu kwangu linathibitisha hilo,kwamab HAMJUI HATA SABABU YA SISI kugeuzwa MBUZI wa shughuli ili TUCHUNWE.
Tuchukue muda kufikili na kubadili maisha yetu ya MAPENZI badala ya kufika kileleni tu ,tuanagalie TUNAFIKAJE KULE JUU !
Hivi Hamjawahi jiuliza "kwanini kesi za wanawake(hasa mama wa nyumbani)hawaishi kutembea na Ma-HOUSE BOY wao!?
Nistasema sababu hapa,Sababu ni ile ile,Baba sikuzote yeye anataka kufika kule tu bila ya kumtayarisha mama LAKINI House boy anamaliza ufundi wote kwa mke matokeo yake mapenzi yanahamia kwa HOUSE BOY na wewe baba Unaishiwa kupewa UNYUMBA TU (this how they prefer to call it,because its the pay back of what you toil for her and the family) na mapenzi anapewa mwengine and not mapenzi peke yake...hata shoping anafanyiwa na pesa za kujiweka safi na hata ule utari wako mzuri anapewa ajipulizie atleast harufu ya jasho imtoke.
sasa if you guys think i am joking please take time to research for yor self and mind you ANZA NHYUMBANI KWAKO sio kwa kimada
I dont think its anything to do with mapenzi hapa, whether unamridhisha mpenzio or not, hili suala la wanawake kuwategea wanaume bill inapokuja mezani naona limekuwa kama cultural issue. Ukimlipia mwanake chakula na kinywaji chake- anaona ndio unampenda na kumjali, anakuona wewe ni gentleman na mbaya zaidi wanaume tunaenjoy kufanya hivyo, hata kama mtu huna kitu unataka ujitutumue mbele ya mademu ilimradi tu uonekane unacho.
MKUU,
hIVI USHAWAHI KUSIKIA NENO "MARIO"?
HIYO INA MAANA WALE WANAUME WANAO ISHI KWA KUTEGEMEA WANAWAKE WANA LIPIWA BILLS,MAVAZI,NA KILA KITU WAO WAPO KWA KUTOA MAPENZI TU(KUMLIDHISHA MAMA KWA MANENO MENGINE)
SASA HAWA NAO TUWAITAJE ?wana chuna buzi.....?
Aisee Sada mimi napingana nawe kwa 100% hii kitu haina uhusiano kabisa na swala la mapenzi.
Hii ni swala la culture zaidi, wanawate kwenye society zetu wamekuwa tegemezi kwa wanaume. Unajua hata mwana mke kama anafanya kazi bado mwanaume ndie anachukuwa majukumu. Na hii kasumba imekuwa kuwa baba ni mtafutaji na mama ni kutake care familia hii inakuja hata ukiwa na marafiki wa kawaida tuu wa kike wanataka wewe ulipe hata kwenye Daladala nauli inabidi ulipe. Nakumbuka nilikuwa na demu nikiwa Mlimani yeye alikuwa anafanya kazi Sigara tulikuwa tukitoka out tukienda kama Rose Garden alikuwa ananipa pesa ili nifanya malipo.
Kwa jamii kama Jpn ukitoka na mwanamke kila mtu analipa. Na sio tuu hivyo Mtu akikwambia tutoke kwa lunch au dinner ni kuwa kila mtu anajilipia.
Ukupe wa wanawake wa kiafrica na wa Kibongo ni tabia tuu hauna uhusiano na mapenzi hata kidogo. Huku ugaibuni tuu ukikutana na mbongo mkienda bar utalipa wakati mwingine inabidi ule kona babake.