Sasa mbona inaonekana ni kama ndio mnapigiana debe ivi, kama hujawahi kumwagia mtama njiwa wako..Njiwa wangu huyo mzee manati haina haja mana jioni anarudi bandani.....
Kuhusu ukosefu wa bahati mkuu katafute bahari chato uoge maji yake![]()
Hapana sio hivyo boss hiyo mali nina hati miliki nayoSasa mbona inaonekana ni kama ndio mnapigiana debe ivi, kama hujawahi kumwagia mtama njiwa wako..
Nilifuga njiwa enzi zangu nilikuwa mtaalam wa kuwateka na kuwafunga mbawa wasirudi walipotoka
nishakutana nayo hayo, raha ukijua yanavyopatikana
Kwenye kona ya kitanda au...😵😵Hahahaha umenikumbusha She angu mmoja nyuma huko ,haaaaa yule mwanamke ilikua balaaa mashuka yanalala ,kava ya godoro inaloa ,alafu bongeeeeeee la mduara katikati ya godoro... Namm napenda kulala na boxer tu.
Mtoa mada ,can you imagine pozi nilikoa nalala ??maana ile mimaji nilikua spendi kuigusa wakat wakulala....
Mkuu assume umbo la nusu duaraKwenye kona ya kitanda au...😵😵
Haufai kabisa aiseeHaha Ule ubaridi sio mzuri kabisa mda wackulala
Mbona wasukuma ,wachaga ,waha mnawasema kila sikuNahisi wasipotaja hilo kabila vijambio vyao vinapwita