Mambo ya ajabu yaliogunduliwa sayari ya Mars

Mambo ya ajabu yaliogunduliwa sayari ya Mars

[emoji1787][emoji1787]mzungu naye anataka awe na dunia yake dah
Wanachukulia simple kama kutengeneza movies za kina Avatar na Marvels wanavyo tudanganya watu kwenda sayari mbalimbali na kuanzisha maisha ni kama kutoka mbagala kwenda buza.
 
Wanachukulia simple kama kutengeneza movies za kina Avatar na Marvels wanavyo tudanganya watu kwenda sayari mbalimbali na kuanzisha maisha ni kama kutoka mbagala kwenda buza.
yaan wanafikiri movie ile halafu wasifikir aliyechagua dunia ndiyo iwe sehemu ya maisha mjinga
 
wazungu wanataka dunia kuwaachia ngoz nyeusi
Tena huyu ndie kachafua hii dunia na viwanda vinavyotoa gasi chafu na zinazoongeza joto afu anataka kutuachia msala, hii mission yake haiwezekani. Bila watu hii dunia ungekuta ina mandhari bora zaidi ya ilivyo sasa.
 
Wameharibu dunia afu wanataka kukimbilia sayari nyingine dunia dunia tu huko wanapoenda kukaa sijui kama watasurvive kipindi chote hamna maji hamna oxygen,kuna mionzi,chakula hamna hao wanaoenda tu wanachakula special ,mitungi ya gesi kazi Kweli,waendelee tu kutudanganya kama Kwenye the 100 haha,,,anyway siku yako yakufa ikifika lazima ufe uwe kwenye moon,pluto au mars lazima utakufa kama wanajidanganya wakienda huko hawatokufa haha
 
Tena huyu ndie kachafua hii dunia na viwanda vinavyotoa gasi chafu na zinazoongeza joto afu anataka kutuachia msala, hii mission yake haiwezekani. Bila watu hii dunia ungekuta ina mandhari bora zaidi ya ilivyo sasa.
kabisa hilo halipingiki maviwanda yao yameharibu sana mazingira
 
Swala sio carbon dioxide hakuna magnetic field hakuna ozone layer, gravitational force ni ndogo hivi vitu viwili ni kikwazo kikubwa sana mars
wao si wanajua kila kitu inabid wafanye mpango waweke sasa
 
Wameharibu dunia afu wanataka kukimbilia sayari nyingine dunia dunia tu huko wanapoenda kukaa sijui kama watasurvive kipindi chote hamna maji hamna oxygen,kuna mionzi,chakula hamna hao wanaoenda tu wanachakula special ,mitungi ya gesi kazi Kweli,waendelee tu kutudanganya kama Kwenye the 100 haha,,,anyway siku yako yakufa ikifika lazima ufe uwe kwenye moon,pluto au mars lazima utakufa kama wanajidanganya wakienda huko hawatokufa haha
kifo hakikimbiliki labda kwenye mars miaka inaganda[emoji848][emoji848]
 
Kwa masharti hayo dunia inabaki kuwa sehemu salama ya kuishi wanadamu na viumbe hai wengine

Tuache kuaingamiza
 
Mars kiongozi wao au mtawala wao kuna uwezakano akawa shetan Au maagizo yakawa yanatoka kwake
 
Maisha kwenye Mars yatakuwa very complicated and vulnerable. Mistake moja tu itawagarimu binadamu wote watakaokuwa huko.
 
Back
Top Bottom