miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
- Thread starter
-
- #41
kwa mtazamo wako ila kiukweli wanaume wajibikeni acheni kujificha chini ya mwavuli WA HAKI SAWA.. hii kitu never exist na haitakaa itokee.. ila kwa kuwa mnajidanganya ndiyo maana kuna wimbi kubwa sana la mario kwenye age 25-30s ni problem ... mwavuli wa haki sawa upo tu na ni mshazari hakuna reality na hautakaa ukutane..ukiona mwanamke anaongelea pesa pesa mda wote, huyo ana matatizo na she needs counseling.
..maisha ni kiwajibika, haijalishi mwanaume au mwanamke. Ndio maana siku hizi hamna mzazi anayebagua watoto likija swala la elimu na kujiendeleza.
..chukua na ubebe majukumu yako, iwe kitandani, jikoni, sebuleni, kazini...popote pale. Take your responsibilities na sio kuangalia mwenzangu anafanya nini.
hao sasa siyo wabahili ni wachoyo... ukikutana na bahili my dear hata yeye mwenyewe kujihudumia ni shida acha kabisaUnawezaje kusema unampenda mtu halafu humjali??
Kuna watu ni bahili sana hata kwa mkewe aliyemweka ndani,kula nyama mpaka sikukuu lakini kwa hawara sasa anavyozimwaga usiseme.
Papuchi ina nguvu hata mama yako unaweza kumsahau.
Muda huwa unafika thamani ya pesa haionekani katika penzi kama kweli kila mtu anampenda mwenzake kiukweli...ukiona mwanamke anaongelea pesa pesa mda wote, huyo ana matatizo na she needs counseling.
..maisha ni kiwajibika, haijalishi mwanaume au mwanamke. Ndio maana siku hizi hamna mzazi anayebagua watoto likija swala la elimu na kujiendeleza.
..chukua na ubebe majukumu yako, iwe kitandani, jikoni, sebuleni, kazini...popote pale. Take your responsibilities na sio kuangalia mwenzangu anafanya nini.
yani wantaka kupindua pindua mambo tuSipendi mwanaume ambaye hajui wajibu wake mpaka aambiwe... Mf. Kutwa kucha anataka mchat lakinu vocha hatumi, Anaona unapendeza hajui hata bei ya lotion, nguo wala namba ya viatu....
Wanaume wapendezeshe wenzu wenu...
kukuweka uwe mkakamavu na hata kitandani utaweza fanya kazi vizuri
Asante sana mumie nadhani watakuelewa
Duh!, kumbe mpaka viagra ndio engine ichanganye !! Hatari
hao sasa siyo wabahili ni wachoyo... ukikutana na bahili my dear hata yeye mwenyewe kujihudumia ni shida acha kabisa
pole kwa yaliyokukuta miss chagga kumbe
charminglady, that's too low of you..!! Anyways, huo ni mtazamo wako. Nitakuwa na jukumu la kumpendezesha na kumjali mzazi wangu pindi sijaoa, siwezi kumpendezesha mtu ambaye sijui kesho yetu itakuwaje, ni ufujaji na matumizi mabaya ya pesa. Pendezeshwa na wazazi kwa vile bado upo nyumbani, jipendezeshe mwenyewe kwa vile una kipato na hujaolewa. Ukishaolewa hiyo ni story nyingine.Sipendi mwanaume ambaye hajui wajibu wake mpaka aambiwe... Mf. Kutwa kucha anataka mchat lakinu vocha hatumi, Anaona unapendeza hajui hata bei ya lotion, nguo wala namba ya viatu....
Wanaume wapendezeshe wenzu wenu...
Amini nakwambia.....mtu yeyote kwenye jambo lake analoliona linampa raha ubahili uwekwa kando.
Sipendi mwanaume ambaye hajui wajibu wake mpaka aambiwe... Mf. Kutwa kucha anataka mchat lakinu vocha hatumi, Anaona unapendeza hajui hata bei ya lotion, nguo wala namba ya viatu....
Wanaume wapendezeshe wenzu wenu...
charminglady, that's too low of you..!! Anyways, huo ni mtazamo wako. Nitakuwa na jukumu la kumpendezesha na kumjali mzazi wangu pindi sijaoa, siwezi kumpendezesha mtu ambaye sijui kesho yetu itakuwaje, ni ufujaji na matumizi mabaya ya pesa. Pendezeshwa na wazazi kwa vile bado upo nyumbani, jipendezeshe mwenyewe kwa vile una kipato na hujaolewa. Ukishaolewa hiyo ni story nyingine.
kwa mtazamo wako ila kiukweli wanaume wajibikeni acheni kujificha chini ya mwavuli WA HAKI SAWA.. hii kitu never exist na haitakaa itokee.. ila kwa kuwa mnajidanganya ndiyo maana kuna wimbi kubwa sana la mario kwenye age 25-30s ni problem ... mwavuli wa haki sawa upo tu na ni mshazari hakuna reality na hautakaa ukutane
Kujinunisha ,Uchoyo ,Ubahili ni shida unaweza kukuta mwanaume hata kukupigia simu hawezi yeye ni kutuma mamessage tu wee kila mara ukimpigia akikuta call yako anakutumia sms tena bby , love call me back jamnai hata kuweka crdt ya shillingi elfu moja ni shida . Kuna wanawake wanapambana kutafuta pesa lakini kuna muda mambo huwa yanakwama muda huo basi mpenzi au mume na wewe umplay karole kako hata kidogo bado shida hii ni kero kweli Miss Chagga
Ukiona kwenye uchuma umeshindwa kutoa jua ukiweka ndani huna mabadiliko zaidi ndiyo utazidi tia ngumu ... any way ni mtazamo wako