SITABIRIKI
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 364
- 105
1. Ni mkoa wenye makabila mengi ya wenyeji yenye lugha zisizoingiliana kuliko mikoa mingine kama vile warangi,wasandawe,wagogo,waburunge
,wa'asi,watiriko
2. Mkoa ambao ombaomba hata atoke Shinyanga husingizia katoka Dodoma
3. Wakazi wake wana umoja katika shughuli za maendeleo na si kuandamana
4. Ni mkoa ambao wenyeji wake wengi hawaoni umuhimu wa elimu,uoto wa asili kama miti n.k
Ongezea...
,wa'asi,watiriko
2. Mkoa ambao ombaomba hata atoke Shinyanga husingizia katoka Dodoma
3. Wakazi wake wana umoja katika shughuli za maendeleo na si kuandamana
4. Ni mkoa ambao wenyeji wake wengi hawaoni umuhimu wa elimu,uoto wa asili kama miti n.k
Ongezea...